Simba tunahujumiwa

Simba tunahujumiwa

mo please ichukue timu kimya kimya kuna viongozi wanatuhujumu kabisa. kuna viongozi wanatuhujumu. kuna baadhi ya viiongozi wanauza mechi sio kawaida kufungwa na african lyon na prison na tushinde stand timu ngumu.

simba tusimameni inara tuchukue ubingwa ile kauli ya upande wa pili ya kuwa haitatokea simba ichukue ubingwa yawezekana inatumaliza kwa baadhi kutuhujumu. Kocha mzuri asiguswe
Wacha mpigwe tu! Nyie akina nani bwana!!
 
mo please ichukue timu kimya kimya kuna viongozi wanatuhujumu kabisa. kuna viongozi wanatuhujumu. kuna baadhi ya viiongozi wanauza mechi sio kawaida kufungwa na african lyon na prison na tushinde stand timu ngumu.

simba tusimameni inara tuchukue ubingwa ile kauli ya upande wa pili ya kuwa haitatokea simba ichukue ubingwa yawezekana inatumaliza kwa baadhi kutuhujumu. Kocha mzuri asiguswe
Kaka miili ya akina Polepole haiwezi kuhimili mikikimikiki, kuweni wapole tu na hapo ndo kipondo kimeanza kila mkichungulia ugenini tu kipondo!! Kwa hizi mechi mlizopigwa mfululizo ikatokea tu tena mkafungwa Msimbazi hakutakalika!!
 
Haulipi wachezaji mishahara kwa wakati,
Hata ukilipa unawalipa baadhi wengine huwalipi
Halafu utegemee utashinda wakati umeshatengeneza makundi ndani ya timu,
Wachawi simba wenyewe
 
mo please ichukue timu kimya kimya kuna viongozi wanatuhujumu kabisa. kuna viongozi wanatuhujumu. kuna baadhi ya viiongozi wanauza mechi sio kawaida kufungwa na african lyon na prison na tushinde stand timu ngumu.

simba tusimameni inara tuchukue ubingwa ile kauli ya upande wa pili ya kuwa haitatokea simba ichukue ubingwa yawezekana inatumaliza kwa baadhi kutuhujumu. Kocha mzuri asiguswe
Acheni ujinga nyinyi, mtachelewa kujipanga bure na kulia lia kwenu!!! Inamaana nyinyi hamtakiwi kufungwa? Ukijua kushinda ujue na kufungwa!!!! Zina shindwa timu kubwa ulaya zina chukua ubingwa lakini zina fungwa, nyinyi ni nani dunia hii?
 
mo please ichukue timu kimya kimya kuna viongozi wanatuhujumu kabisa. kuna viongozi wanatuhujumu. kuna baadhi ya viiongozi wanauza mechi sio kawaida kufungwa na african lyon na prison na tushinde stand timu ngumu.

simba tusimameni inara tuchukue ubingwa ile kauli ya upande wa pili ya kuwa haitatokea simba ichukue ubingwa yawezekana inatumaliza kwa baadhi kutuhujumu. Kocha mzuri asiguswe
Bado mapema umeanza kelele je,vipondo vinavyokuja utasemaje .........???
 
kulialia kama alikibakuli,acheni uswahili chezeni mpira,punguani wahed nyie
 
Subiri, c wanamleta Okwi,... Hapo ndipo utapotokea mpasuko ndani ya simba... Huwa wanamuona Okwi ndo kila kitu na mwenye thamani kuliko wengine.. Hapo ndo wachezaji wanapochomaga ili kuonyesha kama Okwi anaweza peke yake... Bundi mkuu anakuja.
 
Unawalipa wachezaji baadhi halafu unawalaunu wengine hawajitumi, kisha unatafuta mchawi? ??
 
Duh! mbona mapema hivi? hii vuli tu masika wala hatuitarajii muda huu kuweni wastahmilivu hizi figisu figisu zishaanza mtatembezeana bakora mapema akili kumkichwa mkilemaa mtaachwa ferI.
 
nyinyi ndio mnaleta migogoro kwenye timu mnalalamika timu inahujumiwa mna uhakika, hivi hata mpira unaangalia au unakaa vijiweni kusikiliza maneno ya watu kama unampenda sana mo nenda ukaombe hata kazi ya kufagia kwenye kampuni zake.Tatizo la simba walisharidhika wakaona tofauti ya pointi nane wameshakuwa mabingwa pia kuna pengo la Julko Murshid mechi hizi mbili ambazo hakucheza tumefungwa magoli ya kizembe na pia kipa wetu anafungwa magoli rahisi inabidi atafutiwe msaidizi apewe changamoto anajisahahu sana
 
Simba bhana!!! Tafuteni kocha wa viongozi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Rejea wosia wa Kiiza kuwa simba haitakuja kuwa na mafanikio kama uongozi wa akina Aviva na hanz-popo utaendelea kuwa madarakani... over
 
Jiulize Yule kocha mnyasa wa Mbeya city alivyosema tumewafunga Yanga lakini ilikuwa mechi ngumu kuliko tulivyofungwa na simba.. Hata kocha wa prisons amerudia maneno hayo... Kama mpenda mpira wa miguu wachezaji wa simba hawako na nguvu na maumbo madogo inakuwa ni Kazi nyepesi kwa timu zenye kutumia nguvu sana... Na pengine walitumia nguvu zao zote kwenye mechi 13 na sasa wamechoka... Kwa mwendo huu Yanga bingwa...
Mpira ni maarifa tuu maguvu hayasaidii sana muone Ozil au Messi wanavocheza soft football ila kamkabe gone atakavokuabisha
 
Mpira unadunda kaka na kwenye viwanja vya ugenini ambavyo havina viwango ni changa moto kubwa kwa wachezaji
Halafu inabidi ufahamu pia kuwa timu za mikoani zinakamia sana timu za dar.
Hivyo basi acheni fikra potofu ya kutafuta mchawi.
Hivi chai ya rangi na Chapati za Mama Mariam zinaweza vipi kumfanya mchezaji acheze mechi kumi na tano na akabaki na nguvu? Kichuya kama nyenyere,akikutana Midume anapotezwa,hata mechi ya Mbao fc,ilikuwa kwa kudra za Mungu tuu,ilibidi sisi Wamatopeni fc tupigwe.
 
Huu ndo msosi wa wachezaji wetu
 

Attachments

  • 1479199740839.jpg
    1479199740839.jpg
    32.4 KB · Views: 22
mwanzoni nillipuuzia uvumi kuwa wachezaji wamecheleweshewa mshahara wao kumbe kuna ukweli ndani yake. na viongozi walivyokuwa wanakanusha wanasema kuna hujuma kumbe wahujumu wenyewe ndio wao wenyewe kwa kuchelewesha mishahara ya wachezaji. hii timu ibinafsishwe haraka sana kwa kufuata utaratibu halali wa uwazi vinginevyo haya matatizo yalitokea mwaka jana, yametokea mwaka huu na hata mwakani yatatokea tena. timu itashinda vipi bila wachezaji kulipwa mishahara yao kwa wakati?
 
Mpira ni maarifa tuu maguvu hayasaidii sana muone Ozil au Messi wanavocheza soft football ila kamkabe gone atakavokuabisha
Unadhani kwa nini ukanda wetu hatuna wachezaji wengi timu kubwa ulaya... Wanyama angekuwa na umbo kama mkude angecheza spurs.. Figure it out
 
Back
Top Bottom