Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,981
- 1,009
Huu ndo msosi wa wachezaji wetu
Duh! Mkuu hapo nafananisha na Drogba alivyokuwa anapata breakfast pale New Africa, kuku mzima mmoja, mikate mitatu, juice lita mbili na matunda kadhaa!! Hapo huyo kichuya anapiga chapati kavu na chai?? Aaaaaah Avevaaaaa chi chawa hiyooo!