SIMBA TUNAJIPA SIFA NYINGI ZA KIPUMBAVU.

Punguza hasira Mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale vijana wa Mashujaa siku ile walipiga mpira mkubwa.
Pasi ya goli wanaitengeneza toka katikati ya uwanja.
Yaani ni burudani tupu, naomba siku watakayocheza tena mnistue niwaangalie tena.
Ingawa nimesikitika kwa timu yangu pendwa kufungwa lakini kama mwana michezo nasema kweli kuwa siku ile tulistahili kufungwa zaidi ya goli tatu.
Tatizo lao ni moja tu walilolifanya ni kwamba kipindi cha kwanza walicheza kwa woga wa kuiogopa Simba.
Walipoenda mapumziko kocha akawaambia vijana fungukeni na chezeni mpira niliowafundisha kama kufungwa tushafungwa na hatuna cha kupoteza.
Vijana wakarudi wakacheza mpira mkubwa wakapata matokeo.
Pongezi kwao.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani mkuu, unaweza kuweka source ya hii taarifa ili wadau wengine tuweze kuipitia. Ahsante
Ni 'fake' hyo, mkuu... check hayo maandish ya chin kabisa. Iweje watangaze tareh ya draw disemba 28 ilhal leo ndo siku husika!!?
 

wewe Ndugu ni Simba kweli??!! Au umevaa ngozi ya Simba kumbe ndani ni....tehtehtehteh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…