Kumbukumbuyatorati
Senior Member
- Jul 27, 2018
- 152
- 221
Habari wanajukwaa.
Nikiwa kama shabiki wa simba naumia sana na mwendo wa klabu yetu katika mechi muhimu lakini timu inafanya vibaya.
Ligi wakati inaanza tulikuwa tunatoa sareza kijinga na kujikuta tunaambulia na kipigo cha mbao wakati huo tunaowaita mikia wakikusanya points muhimu pamoja na kuwa na halo ngumu.Wakati huo mashabiki sisi tukijivunia uwepo was kina kangwere na mboko ambao hawajaweza kutuweka kileleni mwa ligi huku tukiwacheka kina makambor pamoja na ukata wao Leo wametuacha points nyingi kwa halo iliyofikia had sasa ubingwa wa ligi tumekosa hivyo ligi ya mabingwa mwakani hatushiriki hill jambo lipo wazi.
Kama ligi imetushinda basi tungezingatia kombe LA shirikisho ili kujihakikishia tunapata hill kombe na kushiriki kombe LA shirikisho mwakani kwa siasa za lile zeruzeru na wajinga wenzake kujitia kumshauri kocha apange kikosi cha walevi hatimae MASHUJAA wametufunga mabakuli.Manara namuona mngese sana na wenzake wanamshauri sana yule kocha siamini kama yule kocha anaijua mashujaa mpaka apange ungese ule ushauri wa yule zeruzeru ndo chanzo.
TUMAINI CAF CHAMPIONS LEAGUE hapa sasa ndoto za watu wapumbavu ndo zilipojaa kuwaza kuwa SIMBA itachukua kombe LA CAF ili ishiriki tena mashindano mwakani yani huu ni ungese.......yaani ungese msifikiri Africa nzima imejaa kina NKANA na MBABANE na kujipa matumaini huyu CHAMA ataweza kufunga goli zake mbele ya Zamarek ama mazembe.
Huu ni upumb huyu manara alee familia anakiranga sana mwakani tubaki hapa hapa ili bakuli LA manara lifunge. Hapa ndo utajua ujinga alionao huyu manara muda wa kufatilia taarifa muhimu za timu na kutujuza anatumia kugombana na DAUDA ambae hausiki na SIMBA hata kidogo.Manara kwani hawezi kutolewa Simba tupate msemaji mzuri anaejua taaluma yake.
Ukweli utabaki palepale kuwa hamna mpira wa mdomoni baada ya kufanya vizuri mechi moja kuwafunga waarabu yaliyotukuta kila mtu anayajua leo simba ikiwa uwanja wa nyumbani inashindwa kupambana na timu ndogo zilizobaki kuchukua kombe la sportpesa uwezo wetu ukilinganishwa na timu kama mbao.
Manara na uparaa wako endelea kujitapa mnaharibu timu yetu halafu unasema simba sio baba yako kama ndivyo kaungane na baba yako huko ndala FC tuachie timu ipate afisa habari anaejua kazi yake.
Nikiwa kama shabiki wa simba naumia sana na mwendo wa klabu yetu katika mechi muhimu lakini timu inafanya vibaya.
Ligi wakati inaanza tulikuwa tunatoa sareza kijinga na kujikuta tunaambulia na kipigo cha mbao wakati huo tunaowaita mikia wakikusanya points muhimu pamoja na kuwa na halo ngumu.Wakati huo mashabiki sisi tukijivunia uwepo was kina kangwere na mboko ambao hawajaweza kutuweka kileleni mwa ligi huku tukiwacheka kina makambor pamoja na ukata wao Leo wametuacha points nyingi kwa halo iliyofikia had sasa ubingwa wa ligi tumekosa hivyo ligi ya mabingwa mwakani hatushiriki hill jambo lipo wazi.
Kama ligi imetushinda basi tungezingatia kombe LA shirikisho ili kujihakikishia tunapata hill kombe na kushiriki kombe LA shirikisho mwakani kwa siasa za lile zeruzeru na wajinga wenzake kujitia kumshauri kocha apange kikosi cha walevi hatimae MASHUJAA wametufunga mabakuli.Manara namuona mngese sana na wenzake wanamshauri sana yule kocha siamini kama yule kocha anaijua mashujaa mpaka apange ungese ule ushauri wa yule zeruzeru ndo chanzo.
TUMAINI CAF CHAMPIONS LEAGUE hapa sasa ndoto za watu wapumbavu ndo zilipojaa kuwaza kuwa SIMBA itachukua kombe LA CAF ili ishiriki tena mashindano mwakani yani huu ni ungese.......yaani ungese msifikiri Africa nzima imejaa kina NKANA na MBABANE na kujipa matumaini huyu CHAMA ataweza kufunga goli zake mbele ya Zamarek ama mazembe.
Huu ni upumb huyu manara alee familia anakiranga sana mwakani tubaki hapa hapa ili bakuli LA manara lifunge. Hapa ndo utajua ujinga alionao huyu manara muda wa kufatilia taarifa muhimu za timu na kutujuza anatumia kugombana na DAUDA ambae hausiki na SIMBA hata kidogo.Manara kwani hawezi kutolewa Simba tupate msemaji mzuri anaejua taaluma yake.
Ukweli utabaki palepale kuwa hamna mpira wa mdomoni baada ya kufanya vizuri mechi moja kuwafunga waarabu yaliyotukuta kila mtu anayajua leo simba ikiwa uwanja wa nyumbani inashindwa kupambana na timu ndogo zilizobaki kuchukua kombe la sportpesa uwezo wetu ukilinganishwa na timu kama mbao.
Manara na uparaa wako endelea kujitapa mnaharibu timu yetu halafu unasema simba sio baba yako kama ndivyo kaungane na baba yako huko ndala FC tuachie timu ipate afisa habari anaejua kazi yake.