Makungaranga
Senior Member
- Sep 4, 2016
- 152
- 168
Kanoute na Mazimiru wote ni pure box to box midfield, hatuna namba 6 halisi, hatuna holding au hata playmaker wa chini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sielewi ni kwanini Simba ilimdharau Kakolanya.Kumuachia Kakolonya kuandoka ulikuwa uamuzi mbovu, wangempa mkataba mzuri abaki kwa sababu pesa wanayo enda kuilipa kwa kumleta kipa foreigner itakuwa zaidi ya alicho omba Kakolanya. Maamuzi yamefanyika ya roho mbaya na kukomoana, typical roho za kitz.