Simba Tundu Lissu ana stress, cage haimfai.

Simba Tundu Lissu ana stress, cage haimfai.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Nimeangalia clip ya huyu Simba aliyepewa jina la Tundu Lissu anavyoahangaika kwenye "cage" nikasitika sana, maelezo yametolewa kwamba akiona binadamu ndio huwa anahangaika hivyo! Hiyo ni stress anadhihirisha,

Wanyamapori hawakutakiwa kukaa katika zoo au cages, Zoo na Cages ni mojawapo ya vumbuzi mbaya zaidi za binadamu kwa wanyamapori zilizotokana na maendeleo. Simba Tundu Lissu aachiliwe arudi mwituni atambe, Tanzania hatuhitaji zoo au cage kwa wanyamapori.
 
Nimeangalia clip ya huyu Simba aliyepewa jina la Tundu Lissu anavyoahangaika kwenye "cage" nikasitika sana, maelezo yametolewa kwamba akiona binadamu ndio huwa anahangaika hivyo! Hiyo ni stress anadhihirisha,

Wanyamapori hawakutakiwa kukaa katika zoo au cages, Zoo na Cages ni mojawapo ya vumbuzi mbaya zaidi za binadamu kwa wanyamapori zilizotokana na maendeleo. Simba Tundu Lissu aachiliwe arudi mwituni atambe, Tanzania hatuhitaji zoo au cage kwa wanyamapori.
Nakubaliana nawe Cages ni kama biashara fulani hivi ya utumwa tulivyokuwa tukifungwa pingu na kutembezwa kama mateka.

Wanayama hawana uhuru wao wa asili huko kwenye mazoo tunawatesa na kuwanyanyasa kimabavu.
 
Mara nyingi Simba wanaowekwa kwenye Cage ni wale waliokua wanasakwa kwa kula ng'ombe kwenye maeneo ya binadamu wengine wanauawa na wengine wanaokamatwa hai kwa kuwa hawawezi kuishi porini ndio wanapewa hao wazee wa zoo kwa gharama ndogo hakuna Simba atakamatwa Porini ili atunzwe kwenye Zoo ndio maana hao wakiona binadamu wanakua wanahangaika kwa wanaojua hili hawashangai..
 
Nimeangalia clip ya huyu Simba aliyepewa jina la Tundu Lissu anavyoahangaika kwenye "cage" nikasitika sana, maelezo yametolewa kwamba akiona binadamu ndio huwa anahangaika hivyo! Hiyo ni stress anadhihirisha,

Wanyamapori hawakutakiwa kukaa katika zoo au cages, Zoo na Cages ni mojawapo ya vumbuzi mbaya zaidi za binadamu kwa wanyamapori zilizotokana na maendeleo. Simba Tundu Lissu aachiliwe arudi mwituni atambe, Tanzania hatuhitaji zoo au cage kwa wanyamapori.

Hakuna mnyama apendaye kuwa kwenye cage.

Si mbwa, mdudu au hata binadamu!
 
Back
Top Bottom