Katika Miaka Minne ya Simba Imefanya makubwa kwa hiyo hata kama tunawaondoa wachezaji tuwaondoe kwa heshima.
Wamefanya makubwa lakini pia viongozi wa Simba anzisheni mambo ya kusajili wanachama online kama CCM wanavyofanya kwa kiingilio cha 10,000 na kila mwaka tulipe 20,000 na mapato na matumizi yatangazwe kila mwaka. Hii itatupa nguvu sana Simba. Bila kufanya hivi tutaendelea kuwa tegemezi. MO lazima tuwe naye lakini pia hii mhm kuwa na wanachama walio hai.
Wachezaj wafuatao tunaweza kuwapumzisha
Wamefanya makubwa lakini pia viongozi wa Simba anzisheni mambo ya kusajili wanachama online kama CCM wanavyofanya kwa kiingilio cha 10,000 na kila mwaka tulipe 20,000 na mapato na matumizi yatangazwe kila mwaka. Hii itatupa nguvu sana Simba. Bila kufanya hivi tutaendelea kuwa tegemezi. MO lazima tuwe naye lakini pia hii mhm kuwa na wanachama walio hai.
Wachezaj wafuatao tunaweza kuwapumzisha
- Mugalu
- Kagere
- Bocco
- Lwanga ni Injury
- Onyango Umri
- Mzamiru