Mzee Chama wa nini tena kuendelea naye?Nakuunga mkono, Ila hapo kwenye wachezaji wakuachwa tunapishana kidogo- hasa ma- pro- wachezaji wapo tatizo nadhani bajeti ndogo ya usajili- Kama lengo ni kufanya vizuri kimataifa- wachezaji mapro wakubaki ni wawili tu- Enock Inonga- na Clotus Chama.
Kwenye list yako umesahau kumuweka Muzamir Yassin huyu kakangu mpira umekwisha kabisa.
Wananchi tutawapasua kila wakati tukikutana hadi mstaafishe timu nzima na mrudi ligi ya championshipNi mapema sana kustafisha timu nzima, tuwape mda na mapumziko ya kutosha
Tuachie simba yetu..wewe endelea na timu yako ya utopoloMimi naona tuondoe timu nzima kidogo Inonga. Pia na Babra atupishe kidogo, tumrudishe Senzo wetu. Ni hayo tu.
Nawe pia Ni KolowizardTuachie simba yetu..wewe endelea na timu yako ya utopolo