joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Nyie ndio mnao zimiaga na kuwa Sumbua maaskari.Yaani Kwa Mkapa ni either Horoya afungwe na Simba au Simba amfunge Horoya. Hakuna nafasi ya matokeo mengine yoyote yale tofauti na haya mawili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie ndio mnao zimiaga na kuwa Sumbua maaskari.Yaani Kwa Mkapa ni either Horoya afungwe na Simba au Simba amfunge Horoya. Hakuna nafasi ya matokeo mengine yoyote yale tofauti na haya mawili.
Hivi Raja unawajua vizuri wakiwa kwao? Yaani hapa kwa Mkapa hawakufunguka,ungetizama game ya Horoya na Vipers ndipo ungewa elewa. Jana tu Horoya walikuwa na defence nzuri, tena hata goli la pili wamepigwa dk ya 90.Nyie na mabeki wenu wazee, mmekoswa koswa mnakula kama za Vipers.Simba ikishajihakikishia kuvuka hata huko Morocco isiende au iende ikacheze mfumo wa 6-4-0, lol. Kwa kuwaangalia wale Raja jana, hawatishi kihivyoo, walikuta Simba wenyewe wamepanga kikosi vibaya na wachezaji waliingia kwa hofu.
nyie mnaocheza kombe la losers poleni! nyie siyo saizi yetu!Bado Hamjakoma?, Mnarudia Tena Kauli Zenu Za Kwa Mkapa Hatoki Mtu [emoji16]
Mkuu nimeona una tatizo kidogo katika ubongo wako Kuna nati moja haipo! Nyie hamna Timu Wala fomesheni ya kuipiga Horoya na Vipers mliwaotea tuYaani Kwa Mkapa ni either Horoya afungwe na Simba au Simba amfunge Horoya. Hakuna nafasi ya matokeo mengine yoyote yale tofauti na haya mawili.
Easily said ...Uzuri point zetu sita zipo kwa mkapa tena kutoka kwa vibonde horoya na vipers
Kweli kabisa ndio maana wanaongoza ligi kwa points 8nyie mnaocheza kombe la losers poleni! nyie siyo saizi yetu!
Save this comment....!!!!Mkuu nimeona una tatizo kidogo katika ubongo wako Kuna nati moja haipo! Nyie hamna Timu Wala fomesheni ya kuipiga Horoya na Vipers mliwaotea tu
Ngoja tu tuamini hiviSimba ikishajihakikishia kuvuka hata huko Morocco isiende au iende ikacheze mfumo wa 6-4-0, lol. Kwa kuwaangalia wale Raja jana, hawatishi kihivyoo, walikuta Simba wenyewe wamepanga kikosi vibaya na wachezaji waliingia kwa hofu.
Aloyetutia mkosi huo ni Ibenge na imetimia.March 7, tunachukua point 3 Vs Vipers pale kwa mkapa. Tutafikisha point 6. Hiyo siku kama Horoya watajitahidi sana, watavuna point 1 Vs Raja. Watafikisha point 5.
March 17, Horoya kwa mkapa hatoki. Tunavuna kwake point 3. Tutakuwa na jumla ya point 9.
March 23 najua tutapoteza kwa Raja, ila hata kama Horoya atachukua point 3 kwa Vipers, bado atakuwa amefikisha point 8.
Haya maneno yangekua yanacheza sasa hivi mngekua na points 9March 7, tunachukua point 3 Vs Vipers pale kwa mkapa. Tutafikisha point 6. Hiyo siku kama Horoya watajitahidi sana, watavuna point 1 Vs Raja. Watafikisha point 5.
March 17, Horoya kwa mkapa hatoki. Tunavuna kwake point 3. Tutakuwa na jumla ya point 9.
March 23 najua tutapoteza kwa Raja, ila hata kama Horoya atachukua point 3 kwa Vipers, bado atakuwa amefikisha point 8.
Mungu ibariki Simba ScMarch 7, tunachukua point 3 Vs Vipers pale kwa mkapa. Tutafikisha point 6. Hiyo siku kama Horoya watajitahidi sana, watavuna point 1 Vs Raja. Watafikisha point 5.
March 17, Horoya kwa mkapa hatoki. Tunavuna kwake point 3. Tutakuwa na jumla ya point 9.
March 23 najua tutapoteza kwa Raja, ila hata kama Horoya atachukua point 3 kwa Vipers, bado atakuwa amefikisha point 8.
Sasa tutumie kauli GaniBado Hamjakoma?, Mnarudia Tena Kauli Zenu Za Kwa Mkapa Hatoki Mtu [emoji16]
Kwanini timu kubwa inakiri kupoteza kwa Raja?March 7, tunachukua point 3 Vs Vipers pale kwa mkapa. Tutafikisha point 6. Hiyo siku kama Horoya watajitahidi sana, watavuna point 1 Vs Raja. Watafikisha point 5.
March 17, Horoya kwa mkapa hatoki. Tunavuna kwake point 3. Tutakuwa na jumla ya point 9.
March 23 najua tutapoteza kwa Raja, ila hata kama Horoya atachukua point 3 kwa Vipers, bado atakuwa amefikisha point 8.