Simba tutamaliza Nafasi ya pili kundi C

Yaani Kwa Mkapa ni either Horoya afungwe na Simba au Simba amfunge Horoya. Hakuna nafasi ya matokeo mengine yoyote yale tofauti na haya mawili.
Nyie ndio mnao zimiaga na kuwa Sumbua maaskari.
 
Simba ikishajihakikishia kuvuka hata huko Morocco isiende au iende ikacheze mfumo wa 6-4-0, lol. Kwa kuwaangalia wale Raja jana, hawatishi kihivyoo, walikuta Simba wenyewe wamepanga kikosi vibaya na wachezaji waliingia kwa hofu.
Hivi Raja unawajua vizuri wakiwa kwao? Yaani hapa kwa Mkapa hawakufunguka,ungetizama game ya Horoya na Vipers ndipo ungewa elewa. Jana tu Horoya walikuwa na defence nzuri, tena hata goli la pili wamepigwa dk ya 90.Nyie na mabeki wenu wazee, mmekoswa koswa mnakula kama za Vipers.

Horoya nao sio wabaya, sitoshangaa wakipata matokea kwa Raja.
 
Yaani Kwa Mkapa ni either Horoya afungwe na Simba au Simba amfunge Horoya. Hakuna nafasi ya matokeo mengine yoyote yale tofauti na haya mawili.
Mkuu nimeona una tatizo kidogo katika ubongo wako Kuna nati moja haipo! Nyie hamna Timu Wala fomesheni ya kuipiga Horoya na Vipers mliwaotea tu
 
Mkuu nimeona una tatizo kidogo katika ubongo wako Kuna nati moja haipo! Nyie hamna Timu Wala fomesheni ya kuipiga Horoya na Vipers mliwaotea tu
Save this comment....!!!!
 
Simba ikishajihakikishia kuvuka hata huko Morocco isiende au iende ikacheze mfumo wa 6-4-0, lol. Kwa kuwaangalia wale Raja jana, hawatishi kihivyoo, walikuta Simba wenyewe wamepanga kikosi vibaya na wachezaji waliingia kwa hofu.
Ngoja tu tuamini hivi
 
Aloyetutia mkosi huo ni Ibenge na imetimia.
 
Unazungumzia hii simba 🦁 ya papatupapatu au?
 
Haya maneno yangekua yanacheza sasa hivi mngekua na points 9
 
Mungu ibariki Simba Sc
 
Kwanini timu kubwa inakiri kupoteza kwa Raja?
 
simba mnapata wapi nguvu za kuidharau horoya ambaye aliwapasua BAO Moja,horoya anaweza shinda hata Kwa mkapa au ku droo
 
Ni vizuri kujipa moyo Ili watu wasimame wakaze Buti, chochote kinaweza kutokea. Kilichobaki Sasa ni kuombea Fulani afungwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…