Simba tuvae jezi nyeusi kwenye mechi

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Nadhani Kila mtu anaelewa kuwa hawa wananchi wakituwahi kuvaa jezi nyeusi ......basi tumekwisha

Nini kifanyike

Japo hatuna jadi ya kuwa na jezi nyeusi ila naomba uongozi ulifanyie hili uwepesi tupate hizo jezi bila hivyo ....sisi MAKOLO derby ni Kwaheri,

Naomba kuwasilisha hoja .....

 
Ila mganga wa yanga ni kiboko, hivi yanga lini kabadirisha toka kijani na njano kwenda nyeusi acheni ushirikina utopolo wakubwa.
Hapana mkuu ....nasisi Simba tuvae nyeusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…