Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Nadhani Kila mtu anaelewa kuwa hawa wananchi wakituwahi kuvaa jezi nyeusi ......basi tumekwisha
Nini kifanyike
Japo hatuna jadi ya kuwa na jezi nyeusi ila naomba uongozi ulifanyie hili uwepesi tupate hizo jezi bila hivyo ....sisi MAKOLO derby ni Kwaheri,
Naomba kuwasilisha hoja .....
Nini kifanyike
Japo hatuna jadi ya kuwa na jezi nyeusi ila naomba uongozi ulifanyie hili uwepesi tupate hizo jezi bila hivyo ....sisi MAKOLO derby ni Kwaheri,
Naomba kuwasilisha hoja .....