Simba ubingwa wa point za rushwa haunogi chezeni mpira

Simba ubingwa wa point za rushwa haunogi chezeni mpira

20acd89a36cb40c1167c92bbb3f809c1.jpg


Simba wamemkatia rufaa mchezaji muhamed fakhi wakidai alicheza akiwa na kadi tatu za njano baada ya kupigwa miwa miwili kule kagera hivyo wanataka wapewe point 3.

Mechi imechezwa jumapili lkn wakatiwa rufaa wamejua wamekatiwa rufaa alhamisi tena kwa siri kuvuja sbb simba wakishirikiana kamati ya saa 72 ambayo imejaza watu wa simba na kila wakutanapo kufanya maamuzi yanayoihusu simba huitana wenyewe kwa kisingizio akidi imetimia na kila kunapokua na mahudhurio ya watu ambao sio simba mwenyekiti huahirisha kutoa maamuzi hata kama ukweli umebainika na wataendelea kupiga kalenda mpaka siku watakayofanikiwa kukutana watu wa simba pekee.

Kwa mujibu wa kocha wa kagera anakataa fakhi hana kadi tatu, mratibu wa kagera anakataa mchezaji mwenyewe anakataa na kuanisha mechi alizoadhibiwa kwa kadi za njano.
Sarakasi nyingine mechi simba wanayosema alipata kadi haikuonyeshwa hivyo mashahidi pekee ni maafisa walioisimamia wakati huo huo refa aliochezesha hiyo mechi ndio aliochezesha mechi simba wanayodai point.

Kubwa kuliko eti maamuzi yameshindwa kufanyika baada ya kuwahoji maafisa watatu waliosimamia hiyo mechi na kutofautiana hivyo wanataka kupata majibu ya afisa wa 4 ambae ni kamishina swali hawa watatu walipatijanaje huyu mmoja ashindwe kupatikana?
Hapa ndio rushwa inapoanzia huyu kamishina anaetakiwa ndio awe shahidi wa mwisho kupenyezewa mlungula tu.

Ajabu lingine kamati wanatuambia hakuna ripoti zozote wanazopeleka bodi ya ligi baada ya mechi? Zile ripoti wanazosemaga zinawasilishwa bodi baada ya mechi ni zipi kama zipo kwa nini zisitumike?

Rushwa nyingine anatoa malinzi kwa simba sbb simba ndio waliomuweka malinzi tff na bahati mbaya anamaliza muda bila simba kuwa bingwa huku akikabiliwa na uchaguzi, ili arudi tena tff lazima awape simba rushwa ya ubingwa sbb 80% kama si 90% ya wenyeviti wa mikoa ni simba zaidi ya 60% ya viongozi wa vilabu vingine vya vpl ni simba hivyo hakuna namna lazima awalambe miguu kwa rushwa ya ubingwa.

Kama mkijinadi kwa mbwembwe nyie mabingwa wa kutandaza soka basi chukueni ubingwa kwa kutandaza soka sio rushwa

Mfurukutwa wa soka......
Rejea rekodi vizuri za miaka ya nyuma, Yanga ishawahi kutwaa Ubingwa zaidi ya mara mbili baada ya Simba kuporwa point. Tena kuna msimu mmoja Simba iliporwa point 6 ndiyo Yanga ikatwaa ubingwa bila hivyo yasingetokea. Kuna kosa kama hilo pia la kuchezesha mchezaji mwenye kadi, ila wao hawakulalama lolote.

Hebu kuweni wapole tu, mshabeba ubingwa mara tatu tofauti kinamna hiyo.
 
20acd89a36cb40c1167c92bbb3f809c1.jpg


Simba wamemkatia rufaa mchezaji muhamed fakhi wakidai alicheza akiwa na kadi tatu za njano baada ya kupigwa miwa miwili kule kagera hivyo wanataka wapewe point 3.

Mechi imechezwa jumapili lkn wakatiwa rufaa wamejua wamekatiwa rufaa alhamisi tena kwa siri kuvuja sbb simba wakishirikiana kamati ya saa 72 ambayo imejaza watu wa simba na kila wakutanapo kufanya maamuzi yanayoihusu simba huitana wenyewe kwa kisingizio akidi imetimia na kila kunapokua na mahudhurio ya watu ambao sio simba mwenyekiti huahirisha kutoa maamuzi hata kama ukweli umebainika na wataendelea kupiga kalenda mpaka siku watakayofanikiwa kukutana watu wa simba pekee.

Kwa mujibu wa kocha wa kagera anakataa fakhi hana kadi tatu, mratibu wa kagera anakataa mchezaji mwenyewe anakataa na kuanisha mechi alizoadhibiwa kwa kadi za njano.
Sarakasi nyingine mechi simba wanayosema alipata kadi haikuonyeshwa hivyo mashahidi pekee ni maafisa walioisimamia wakati huo huo refa aliochezesha hiyo mechi ndio aliochezesha mechi simba wanayodai point.

Kubwa kuliko eti maamuzi yameshindwa kufanyika baada ya kuwahoji maafisa watatu waliosimamia hiyo mechi na kutofautiana hivyo wanataka kupata majibu ya afisa wa 4 ambae ni kamishina swali hawa watatu walipatijanaje huyu mmoja ashindwe kupatikana?
Hapa ndio rushwa inapoanzia huyu kamishina anaetakiwa ndio awe shahidi wa mwisho kupenyezewa mlungula tu.

Ajabu lingine kamati wanatuambia hakuna ripoti zozote wanazopeleka bodi ya ligi baada ya mechi? Zile ripoti wanazosemaga zinawasilishwa bodi baada ya mechi ni zipi kama zipo kwa nini zisitumike?

Rushwa nyingine anatoa malinzi kwa simba sbb simba ndio waliomuweka malinzi tff na bahati mbaya anamaliza muda bila simba kuwa bingwa huku akikabiliwa na uchaguzi, ili arudi tena tff lazima awape simba rushwa ya ubingwa sbb 80% kama si 90% ya wenyeviti wa mikoa ni simba zaidi ya 60% ya viongozi wa vilabu vingine vya vpl ni simba hivyo hakuna namna lazima awalambe miguu kwa rushwa ya ubingwa.

Kama mkijinadi kwa mbwembwe nyie mabingwa wa kutandaza soka basi chukueni ubingwa kwa kutandaza soka sio rushwa

Mfurukutwa wa soka......
Aliyekwambia simba bingwa nani
 
Breaking News:Baada ya Simba kushinda kwa kishindo cha Roma mkatoliki leo,na Baada ya Lambalamba kutoa droo mdhamini Mkuu tajiri wa kupindukia mwenye ukwasi wa kutosha Yusuph Manji ajitoa kwenye klabu, hii imetokana na Leo Yanga(Ndala) kukataa kuuza haki ya kuonyesha mpira na wale waarabu ambapo wangepata mil 35 za hataka mbali na Gate fee
 
Back
Top Bottom