Simba uso kwa uso na Yanga fainali ya kombe la Mapinduzi

Simba uso kwa uso na Yanga fainali ya kombe la Mapinduzi

Angalia hyo rank kwa club za Africa
imetoka tarehe 10 mwezi wa 1 mwaka 2021..
Wapo nafasi ya 29.
Plateau amekua mwepesi kwasababu wachezaji wake wengi walikutwa na Corona Pili yule hakua bigwa kwenye nchi yake Bali kipindi Cha ligi yao inasimama kwasababu ya Corona yenye ndio alikua akiongoza ligi.

Platinum ni mwepesi tulimpiga 5 Taifa mwaka 2015 akiwa na wachezaji nyota Kama Thabani Kamusoko, Donald Ngoma, Aubrey Chirwa.

Yamwaka huu mchezaji tishio ni Perfect Chikwende.

wakina Issa Ndala uwezi kufananisha na Kamusoko tulimfunga 5 Taifa timu yakawaida sana ile.

Kwanza yule goaly kipa wa PLATINUM umeekewa kipa chguo la 3 chaguo namba 1 amekutwa na Corona


Mtani uishukuru Corona imekubeba mwaka huu na itaendelea kukubeba kwasababu mwarabu utaenda cheza bila kuwa na mashabiki zile 5 zitapungua, Safari hii
Screenshot_20210112-074658.jpg
 
Kwa Sasa Simba sio level za yanga.
Kilichobakia Sasa ni ule UTANI WA JADI tulioachiwa na mababu zetu.
Ila kwa viwango vya mpira
Hauwezi kuifananisha simba na Yanga.
SIMBA WAPO JUU SANAA.
Simba wako juu sana, kwa sasa hakuna timu ,kwa hapa Tanzania na katika Afrika , imefikia hatua ya kuchezesha watu na paka kwa pamoja.
 
Simba wapo nafasi ya 271 kwa ubora africa
Umemfunga muhanga wa corona
Yanga wapo nafasi ya 377 kwa ubora Africa.
FC platinum ipo nafasi ya 71 Africa.
Alafu utasemaje platinum na plateau fc.
Ni TIMU DHAIFU?.
HAYO MASUALA YA WACHEZAJI WAO KUKUTWA NA CORONA HAYANA NAFASI
Screenshot_20210112-075401.jpg
Screenshot_20210112-075500.jpg
Screenshot_20210112-075540.jpg
 
Special tred kuelekea Finally ya Mapinduzi Cup Tambo Pamoja na vijembe.

Miamba miwili ya Tanzania kukutana kweye uwanja wa AMANI Tarehe 13,2021 hapo kesho

Finally zinawakutanisha wawili hawa baada ya Yanga kuwatoa Azam fc kwenye mikwaju ya Penalty


Huku Mnyama mkali akiwafunga NAMUNGO SC magoli 2:1






View attachment 1675265
wewe ni mshabiki na mprnzi wa SIMBA KABISA
 
Uto wanapigwa 3-1 na mnyama.
Wataanza kushinda Uto kisha Mnyama atachomoa ataongeza.
 
Mbona paka hawaonekani mitaani.
Yanga wameshaanza visingizio. Kipigo kinaingia kwenye records, iwe sababu ya paka au hirizi, rekodi hazitavitaja hivyo, itataja idadi ya magoli
 
Yanga imeingia fainali baada ya kutoa sare mbili na kushinda moja, imefunga magoli mawili na imeruhusu moja
Simba imeingia fainali baada ya kushinda mechi zote tatu, imefunga magoli saba na imeruhusu mawili
 
Timu zinapangiwa michezo kutokana na viwango vyao vya ubora. Timu ya nafasi ya 17 na 69 haziwezi kucheza mechi sawa
 
Back
Top Bottom