Simba uwanja huu hapa

Simba uwanja huu hapa

NAOMBA KUULIZA HIVI KUNA TIMU KUBWA DUNIANI HUKO ULAYA KULIKOENDELEA WAMETENGENEZA VIWANJA VYAO KWA MICHANGO NA FEDHA MASHABIKI?
Bwashee kwani kila kitu ni lazima tuige kea wazungu? Hivi waafrika nani katuloga?

Kwahiyo kwakuwa wazungu wamehalalisha ushoga nasi tuige?
 
Bwashee kwani kila kitu ni lazima tuige kea wazungu? Hivi waafrika nani katuloga?

Kwahiyo kwakuwa wazungu wamehalalisha ushoga nasi tuige?
Utopolo akili zao ni kama alivyo sema Manara.
Hivi Manara ndio yupo kwa wenye akili hizi kweli.
Kweli Fedha Fedheha.
 
Hili swali limetoka katikati ya ubongo wa mtu mpumbavu ambaye anaweza kujisaidia na akaondoka na kinyesi makalioni.
Mnyeti kule Shinyanga kajenga uwanja mzuri tu, kwa pesa yake binafsi ambayo haizidi shilingi Bilioni tatu.
MO kajenga viwanja viwili vya Mazoezi kwa pesa yake binafsi pale Bunju.
Vipi Simba ishindwe kujenga uwanja wa wake na wanaanza na mtaji wa Bilioni mbili. ?
Na hiyo ni hatua ya awali tu na bado wadau mbalimbali watatafutwa ili kukamilisha hili zoezi.
Akili za wautopolo wanazijua wenyewe.
Unawezaje kubeza hili wazo la maendeleo kwenye soka ?
 
Mnyeti kule Shinyanga kajenga uwanja mzuri tu, kwa pesa yake binafsi ambayo haizidi shilingi Bilioni tatu.
MO kajenga viwanja viwili vya Mazoezi kwa pesa yake binafsi pale Bunju.
Vipi Simba ishindwe kujenga uwanja wa wake na wanaanza na mtaji wa Bilioni mbili. ?
Na hiyo ni hatua ya awali tu na bado wadau mbalimbali watatafutwa ili kukamilisha hili zoezi.
Akili za wautopolo wanazijua wenyewe.
Unawezaje kubeza hili wazo la maendeleo kwenye soka ?
Ujue watanzania wengine walijazwa maji vichwani na wakajikuta wanatembea na bahati mbaya zaidi wakakutana na kizazi cha smartphone, sasa ujinga wao wote wanaumwaga kwenye mitandao bila kuwaza chochote kisa tu mapenzi ya timu B.

Simba na Yanga ni icon za soka la Tanzania, Simba inahitaji uwanja wenye hadhi ya jina lake siyo ilimradi tu uwanja. Kwa bajeti ya bil 30 kwa sasa siyo Simba wala Yanga ambaye anaweza kuipata bila msaada wa watu wa pembeni hasa wanachama.

Simba na Yanga zinaamini zina idadi kubwa sana ya mashabiki wa soka nchini huu ni muda wa wao kuona kwa vitendo uwezo na nguvu ya wanachama/mashabiki wao kwa kujenga uwanja ambao miaka nenda rudi utatumika kwa ajili ya mechi za Simba.

Halafu anatokea punda mweusi mmoja anauliza swali la kikahaba mbele ya wanaume wenye uchu na penzi (akibakwa atulaumu?)
 
Simba wangeingia contract ata na kampuni wakapewa mkopo au wakajengewa uwanja. Uwanja ukawa named kwa jina la kampuni kwa kipindi cha muda fulani.

Au waingie mkataba na kampuni mfano benki ikawapa mkopo au katika kila mauzo ya tiketi zao watachukua asilimia kadhaa kwa kipindi cha muda fulani.

Kwamba wewe una akili za uwekezaji zaidi kuliko kina Try again,Mo Dewji Magori na vichwa vyote pale Simba? Hebu acheni mihemuko,mnaanza kurukia maswali ambayo tayari yana majibu! Kina Try again hawakuwa wafanyabiashara wakubwa kibahati hapo sijamtaja the only recognized Billionaire from Tanzania by Forbes[emoji3]
 
Hizo hasira ndo znahitajika ukiwa umepanga au ukiwa unaishi kwa ndugu ukinyanyasika unapata morali ya kujenga yakwako, swala la kujenga na ujenzi wowote n mgumu ila mkuu usizan uwanja huwa unajengwa mwanzo mwisho hapana unajengwa kwa awamu hata makanisa yanajengwa kwa awamu tena kwa michango hata nyumba za kawaida znajengwa kwa awamu
Mkuu huyo anafugwa na dada yake . Hayo atayajulia wapi?
 
Mimi nitachangia pale nitakapopata uhakika kwamba hakuna mwana utopolo ambaye atakaa VVIP.
 
Utopox wanajifanya wanapinga lakin moyoni wanajua hawa jamaa wanaenda kujenga uwanja halaf wanatupiga gap kubwa sana.. mpaka tuje kufika level hizo sio miaka 10 ijayo
 
SUALA LA UJENZI WA UWANJA SIO RAHISI KAMA INAVYOWEZEKANA, SIO KUKURUPUKA KISA TU BIBIE KANYIMWA SITI PALE VVIP
Wewe utakuwa UTOPWINYO tu,maana si kwa mpovu huo.....wanaochanga wengine wewe misuli ya nya inabana.....duh nchi ngumu kweli hii
 
Kitu Simba hawajui, mpaka waje wachange hadi wafikishe lengo gharama zitakuwa zimepanda kwa asilimia 50 kwa kile kinachoitwa (Cost Overruns) na kufanya gharama zifikie shilingi bilioni 45. Sio rahisi kama wanavyofikiri.
 
Kitu Simba hawajui, mpaka waje wachange hadi wafikishe lengo gharama zitakuwa zimepanda kwa asilimia 50 kwa kile kinachoitwa (Cost Overruns) na kufanya gharama zifikie shilingi bilioni 45. Sio rahisi kama wanavyofikiri.
Umelowa nyuma
 
Back
Top Bottom