Simba, vitendo vyenu vya kishirikina vinaharibu taswira ya soka la Tanzania

Simba, vitendo vyenu vya kishirikina vinaharibu taswira ya soka la Tanzania

 
Uchawi ndio jukumu la kitaifa?
Amelaaniwa mtu Yule amtegemeaye mwanadamu amfanyaye kuwa ngao ya maisha yake.
Enheeee...TENA MUNGU MWENYEWE NDO AMELAANIWA HASWAAA..tena AMELAANIWA KWELI KWELI kwa SABABU YEYE NDO ANAEONGOZA KUMTEGEMEA MWANADAMU.

1 Anamtegemea mwanadam amwabudu, asipomwabudu anaona wivu na anamind

2 Anamtegemea mwanadamu ndo amfanyie kazi. Alimtegemea Musa kule misri. Alimtegemea Daud kumuua Goliati. Akamtegemea Mariam kupitisha kiumbe chake (Yesu). Mifano mi mingi sana



Mungu nae fara kama fara wengine tu. Asiwe anatuchimba mikwaea shenzi zake
 
Enheeee...TENA MUNGU MWENYEWE NDO AMELAANIWA HASWAAA..tena AMELAANIWA KWELI KWELI kwa SABABU YEYE NDO ANAEONGOZA KUMTEGEMEA MWANADAMU.

1 Anamtegemea mwanadam amwabudu, asipomwabudu anaona wivu na anamind

2 Anamtegemea mwanadamu ndo amfanyie kazi. Alimtegemea Musa kule misri. Alimtegemea Daud kumuua Goliati. Akamtegemea Mariam kupitisha kiumbe chake (Yesu). Mifano mi mingi sana



Mungu nae fara kama fara wengine tu. Asiwe anatuchimba mikwaea shenzi zake
Katubu haraka dhambi zako
 
Enheeee...TENA MUNGU MWENYEWE NDO AMELAANIWA HASWAAA..tena AMELAANIWA KWELI KWELI kwa SABABU YEYE NDO ANAEONGOZA KUMTEGEMEA MWANADAMU.

1 Anamtegemea mwanadam amwabudu, asipomwabudu anaona wivu na anamind

2 Anamtegemea mwanadamu ndo amfanyie kazi. Alimtegemea Musa kule misri. Alimtegemea Daud kumuua Goliati. Akamtegemea Mariam kupitisha kiumbe chake (Yesu). Mifano mi mingi sana



Mungu nae fara kama fara wengine tu. Asiwe anatuchimba mikwaea shenzi zake
Yule wa wayahudi wa Ashkenazi ,si ndiyo? Au nasema uongo ndugu zangu!
 
Aliyekuwa anafanya maigizo ya kuroga ni mtu amekodiwa na Utopolo ili kuiharibia Simba,na director wa igizo hilo ni Maulid Kitenge kutumia Kitenge Online TV, aliweka kambi hapo kwa zaidi ya masaa 24, si unaona lile ni igizo kabisa kila hatua wako pamoja. Ila Kitenge ajue anacheza na Moto kwani anaichafua nchi na siyo Simba peke yake.
 
Hawa ni Kaiser walivyotua Dar, wako wanamwaga dawa mchana kweupe tena uwanjani kabisa afu unakuja kusema simba, huyo kibwengo ni utopolo anataka achafue hali ya hewa.
Hii ni Airport yawapi mkuu?
 
Back
Top Bottom