mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Hakika mkuuKila mnyonge .....ana mnyonge wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika mkuuKila mnyonge .....ana mnyonge wake
Mkuu hizo mbinu za nje ya uwanja ni kama zipi?Pia misumari mingi, naona kuna timu imepania kutwaa ubingwa kwa mbinu zote za ndani ya uwanja na nje ya uwanja, yaani kuwapunguza nguvu wenzao kwa mbinu zote, naona mbinu ya kuwachezea rafu sijui wameona wamestukiwa sasa wameona waje na mbinu mbadala, ila kila kitu kina mwisho, namuonea huruma Thadeo lwanga maana amekuwa victim wa mbinu nje ya uwanja, inaonyesha fraga naye pia ni mhanga wa mbinu hizo.
😁😁😁 Simba msimu huu itaambulia lile Kombe la Bonanza la Mapinduzi pekee, kama ilivyokuwa kwa Yanga msimu uliopita. Sidhani kama watavuka robo fainali kwenye hilo Kombe.Wanasema kuonyesha mechi ya dar city na simba ni matumizi mabaya ya umeme [emoji3][emoji3][emoji3]