mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Tanzania tuna bahati moja kubwa Sana, uwanja wa uhuru upo karibu Sana na Uwanja wa Mkapa. Ziwekwe screen mbili kubwa na mashabiki wajazane humo.
Halafu kelele za kushangilia zichuliwe na wireless michro phone mpaka kwenye spika kubwa zitakazowekwa Uwanja wa Taifa ili kutoa feedback kwa wachezaji kuwa mchezaji wa 12 yuko kazini.
Haji Manara tafadhali fanyia kazi wazo hili. Wapenzi wa mnyama Simba mnasemaje?
Halafu kelele za kushangilia zichuliwe na wireless michro phone mpaka kwenye spika kubwa zitakazowekwa Uwanja wa Taifa ili kutoa feedback kwa wachezaji kuwa mchezaji wa 12 yuko kazini.
Haji Manara tafadhali fanyia kazi wazo hili. Wapenzi wa mnyama Simba mnasemaje?