Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Mkuu nimeonyesha odds za draw hapo....2.66 haijawahi kugoma labds ianze leomkuu unabeti ? Hiyo screen shot umeitoa wapi
Any way utabiri wangu ni
Lipuli 1: 2 Simba wa buyenze
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo hutaki kuja na mbwembwe za ile match na Azam maana siku ile uliambulia kichapo.
Taratibu wote mtakuwa wapole.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeanza tena kutoa sababu.Game ya draw huwa sishangilii....kwanza uongozi wa lipuli wote ni simba hata hyo draw inaweza isitokee
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba win, pakia laki 3 hapo. Saa 12 jioni utakua na laki 6
Kweli simba ina wakilisha vyema Tanzania kwa matokeo ya goli 10 Kwa mechi 2. Na kuna goli 6 zipo Algeria, yajayo yanafurahisha.Hakuna wa kuizuia simba ubingwa nji hii. Vyura walietu. Ukweli mchungu. Maana hata wakipata nafasi ya kuwakilisha nchi wanatia haibu. Tunataka timu itakayo itendea haki tanzania kimataifa
wanataka ubingwa wa nini? Wakati hata pesa zakuendeshea timu ni shida? Michezo ya kimataifa ina itaji pesa za maandalizi. Ununue wachezaji wazuri. Sasa yanga mtawezea wapi watani zangu?
jipangeni kwanza achaneni na fikra za mzee akili mali. Badilisheni mfumo kuwa kampuni ile tabia yakutegemea kudoea klabuni ndio imeifanya yanga kuwa omba omba. Watu hawataki timu iwe kampuni maana watakufa njaa.
alafu yule jamaa mnaye safiri nae kama mushabiki nguli. Mnamwamini kweli? Mtu anaacha familia yake halipwi. Anachangisha pesa majukwaani jana kwa majaliwa mgambo wamemtoa baru naona alidokoa mboga ya watoto. Mwangalieni pengine ndio kapata ulaji wa kudokoa michango.
Zaera kasema tangu yanga ianze kutembeza bakuli imefikisha kiasi cha shilingi milion 20. Wakati zahera pekeyake sio mwenye timu lakini kachangia milion 2. Analalamika timu haina umoja anajaribu kuisaidia lakini wao hawasaidiki. Wanabaki kupiga domo kwenye media kua yanga ni timu ya wananchi halafu uananchi wao hauendani na kinachopatikana kwenye bakuliOmba omba FC lile kapu lao wanalopitishaga uwanjani na yale matangazo Azam TV watakua sasa na utajiri mara 10 zaid ya Simba
Tukiwapiga ubakie huko huko usije huku kwetu ushajitoa tayariMm mwanamsimbazi kulialia lakin leo narud nyumban kwa kamwene wenzangu, Lipuli kwanza kagere baadae
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata alinacha hajawahi kuota ndoto za namna hiimkuu unabeti ? Hiyo screen shot umeitoa wapi
Any way utabiri wangu ni
Lipuli 1: 2 Simba wa buyenze
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani simba atoe draw na lipuli? Aisee ni sawa umbetie malawi kwamba atampiga mrusiMkuu nimeonyesha odds za draw hapo....2.66 haijawahi kugoma labds ianze leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani simba atoe draw na lipuli? Aisee ni sawa umbetie malawi kwamba atampiga mrusi
Sent using unknown device
Hapa bila shaka umeandika ukiwa una huzuni kubwa. Nadhani matokeo ushayajua sasa usiwaponze wenzio kuwadanganya kua watapata sare maana tukiwafunga mtaishia kuwachekaGame ya draw huwa sishangilii....kwanza uongozi wa lipuli wote ni simba hata hyo draw inaweza isitokee
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumefungwa goli kumi hao waliotufunga mbona wengine wanaburuza mkia....sikiliza we shabiki wa makwasukwasu fc..sisi hata tufungwe 20 nyie hayawahusu...nyie juzi tu hapa si mmetoka kuchezea kimoja cha mkwezi bado mnahamu tuongeze dozi???Kweli simba ina wakilisha vyema Tanzania kwa matokeo ya goli 10 Kwa mechi 2. Na kuna goli 6 zipo Algeria, yajayo yanafurahisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo aende tu AzamZaera kasema tangu yanga ianze kutembeza bakuli imefikisha kiasi cha shilingi milion 20. Wakati zahera pekeyake sio mwenye timu lakini kachangia milion 2. Analalamika timu haina umoja anajaribu kuisaidia lakini wao hawasaidiki. Wanabaki kupiga domo kwenye media kua yanga ni timu ya wananchi halafu uananchi wao hauendani na kinachopatikana kwenye bakuli
Sent using unknown device
Azam nao wanatabia kama zenu zakukera makocha, juzi si wamefukuza kocha hawa?Huyo aende tu Azam
Hiki lazima kichacheHuu ndio ukweli MCHUNGU ! Matola ana roho ngumu sana kwa Timu yake !
Je, upi ni utabiri wako?