Simba VS Lipuli...Kiporo kigumu sana

Simba VS Lipuli...Kiporo kigumu sana

Hakuna wa kuizuia simba ubingwa nji hii. Vyura walietu. Ukweli mchungu. Maana hata wakipata nafasi ya kuwakilisha nchi wanatia haibu. Tunataka timu itakayo itendea haki tanzania kimataifa

wanataka ubingwa wa nini? Wakati hata pesa zakuendeshea timu ni shida? Michezo ya kimataifa ina itaji pesa za maandalizi. Ununue wachezaji wazuri. Sasa yanga mtawezea wapi watani zangu?

jipangeni kwanza achaneni na fikra za mzee akili mali. Badilisheni mfumo kuwa kampuni ile tabia yakutegemea kudoea klabuni ndio imeifanya yanga kuwa omba omba. Watu hawataki timu iwe kampuni maana watakufa njaa.

alafu yule jamaa mnaye safiri nae kama mushabiki nguli. Mnamwamini kweli? Mtu anaacha familia yake halipwi. Anachangisha pesa majukwaani jana kwa majaliwa mgambo wamemtoa baru naona alidokoa mboga ya watoto. Mwangalieni pengine ndio kapata ulaji wa kudokoa michango.
Kweli simba ina wakilisha vyema Tanzania kwa matokeo ya goli 10 Kwa mechi 2. Na kuna goli 6 zipo Algeria, yajayo yanafurahisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mikia wamedosha mziki wotee
Screenshot_20190226-131432.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Omba omba FC lile kapu lao wanalopitishaga uwanjani na yale matangazo Azam TV watakua sasa na utajiri mara 10 zaid ya Simba
Zaera kasema tangu yanga ianze kutembeza bakuli imefikisha kiasi cha shilingi milion 20. Wakati zahera pekeyake sio mwenye timu lakini kachangia milion 2. Analalamika timu haina umoja anajaribu kuisaidia lakini wao hawasaidiki. Wanabaki kupiga domo kwenye media kua yanga ni timu ya wananchi halafu uananchi wao hauendani na kinachopatikana kwenye bakuli

Sent using unknown device
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kweli simba ina wakilisha vyema Tanzania kwa matokeo ya goli 10 Kwa mechi 2. Na kuna goli 6 zipo Algeria, yajayo yanafurahisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumefungwa goli kumi hao waliotufunga mbona wengine wanaburuza mkia....sikiliza we shabiki wa makwasukwasu fc..sisi hata tufungwe 20 nyie hayawahusu...nyie juzi tu hapa si mmetoka kuchezea kimoja cha mkwezi bado mnahamu tuongeze dozi???
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Naona wana yanga wanataka kumzamini masai leo. Kuweni makini na kesi hii Angalieni masai anaweza kuwaachia shuka mkadhani yupo kupo alishasepa kitambo.

Sent using unknown device
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Zaera kasema tangu yanga ianze kutembeza bakuli imefikisha kiasi cha shilingi milion 20. Wakati zahera pekeyake sio mwenye timu lakini kachangia milion 2. Analalamika timu haina umoja anajaribu kuisaidia lakini wao hawasaidiki. Wanabaki kupiga domo kwenye media kua yanga ni timu ya wananchi halafu uananchi wao hauendani na kinachopatikana kwenye bakuli

Sent using unknown device
Huyo aende tu Azam
 
Back
Top Bottom