njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Ni kombe la FA kesho saa moja usiku uwanja wa mkapa ambapo mtaalamu mzungu wa simba toka ubelgiji Sven Vaan Debroeck ambaye ni kipenzi cha mashabiki wa simba anatarajia kucheza wachezaji wasiopata nafasi mara kwa mara
Kikubwa ni kwamba ule mfumo wake pendwa anaotumia iwe ni mechi kubwa au ndogo yaani 4-2-3-1 unatarajiwa kutumiwa
hivyo tutarajie simba itakayokuwa inacheza kwa tahadhari kubwa huku ikijilinda shidi ya majimaji ya songea
Mfumo huo pia unatarajiwa kutumia tarehe 6 katika mechi ya marudiano na platnum ya zaimbabwe..MFUMO HUO PIA UNATARAJIWA KUTUMIWA TENA NA TENA NA TENA NA TENAAAAAAA hata katika mazoezi, ni mfumo pendwa wa mtaalamu sven.
Inasemekana hata akiwa kalala usingizini huwa anaota kwa sauti na kuutamka mfumo huo huku akitabasamu kwa bashasha
kikosi kinatarajiwa kuwa..
kakolanya,duchu,gadiel,kennedy,ame,ndemla,miraji,muzamiru,bwalya,ajibu,kahata.
Kikubwa ni kwamba ule mfumo wake pendwa anaotumia iwe ni mechi kubwa au ndogo yaani 4-2-3-1 unatarajiwa kutumiwa
hivyo tutarajie simba itakayokuwa inacheza kwa tahadhari kubwa huku ikijilinda shidi ya majimaji ya songea
Mfumo huo pia unatarajiwa kutumia tarehe 6 katika mechi ya marudiano na platnum ya zaimbabwe..MFUMO HUO PIA UNATARAJIWA KUTUMIWA TENA NA TENA NA TENA NA TENAAAAAAA hata katika mazoezi, ni mfumo pendwa wa mtaalamu sven.
Inasemekana hata akiwa kalala usingizini huwa anaota kwa sauti na kuutamka mfumo huo huku akitabasamu kwa bashasha
kikosi kinatarajiwa kuwa..
kakolanya,duchu,gadiel,kennedy,ame,ndemla,miraji,muzamiru,bwalya,ajibu,kahata.