Simba vs Mbeya City: kutoka Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

Simba vs Mbeya City: kutoka Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

Mphamvu

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2011
Posts
10,702
Reaction score
3,319
10945606_485718221567471_653412044200390796_n.jpg

Leo, Januari 28 2015

Ligi Kuu ya Vodacom

Simba 1 - 2 Mbeya City

Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Saa 1600 Jioni
Mpira umekwisha!
 
Tupo pamoja,simba 1 mbeya city 1,azam1,polisi 1,yanga 1,prison 1 ,mtibwa 1,nk..nk
 
Ngoja nisogee kibanda umiza

Naisubiri kwa hamu sana hii mechi, huenda nikawa mwenye furaha sana jioni ya leo, lakini mambo yakibadilika naweza kujikuta mwenye huzuni kana kwamba timu yangu imefungwa.

Mbeya City Council FC tandika Simba koko risasi moja tu kwenye mguu wa mbele kushoto ulipo moyo.
 
Ndimu imeanza, Serenkuma (Mrisho Mpoto) anakosa goli la wazi kabisa hapa...
 
Hawa mbeya city sijui wanachezaje!!! yaani utafikir wanacheza daraja la kwanza. itashuka daraja tu mwaka huu.
 
Back
Top Bottom