Mpira umekwisha!
Ligi Kuu ya Vodacom
Simba 1 - 2 Mbeya City
Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Saa 1600 Jioni
Tupo pamoja,simba 1 mbeya city 1,azam1,polisi 1,yanga 1,prison 1 ,mtibwa 1,nk..nk
Simba lazima amle mbeya city 2-0 zinawatosha ili warudi na ndege
Ngoja nisogee kibanda umiza
simba apakatwe leo!!! na wote tuseme AMINA!!!
simba apakatwe leo!!! Na wote tuseme amina!!!