Simba vs Namungo, unadhani mechi ya leo mnyama atapata penalt dk ya ngapi?

Simba vs Namungo, unadhani mechi ya leo mnyama atapata penalt dk ya ngapi?

Mimi nishaweka sawa mkeka wangu mnyama Kama kawaida yake ataendelea alipoishia penalt ya 4 leo inapatikana ikishindikana kuna mtu anakula umeme tunashindaa bila jasho, ivyo vitu ndo mwokozi wetu kwa sasa mtatusameh kwakweli tunapozidiwa uwa tunakula mpaka Majani🤣🤣🤣🤣
Dk ya GSM
 
Back
Top Bottom