Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,472
- 6,391
Oya huo umeme ni dakika ya ngapi?Kuna anakula umeme dakika ya 70 na penalty tutapata dakika ya 80 na tunamaliza game
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oya huo umeme ni dakika ya ngapi?Kuna anakula umeme dakika ya 70 na penalty tutapata dakika ya 80 na tunamaliza game
Dk ya GSMMimi nishaweka sawa mkeka wangu mnyama Kama kawaida yake ataendelea alipoishia penalt ya 4 leo inapatikana ikishindikana kuna mtu anakula umeme tunashindaa bila jasho, ivyo vitu ndo mwokozi wetu kwa sasa mtatusameh kwakweli tunapozidiwa uwa tunakula mpaka Majani🤣🤣🤣🤣