Huwezi kuwa mpenzi wa migongo wazi. Hakuna mpenzi wa mgongo wazi anayejua kwenye mpira kuna matokeo matatu. Kushinda,kushindwa na sare.Pongezi za dhati kwa watani zangu Simba FC wekundu wa msimbazi.
-Ongezeni juhudi zaidi sababu ligi ngumu na ushindani ni mkubwa.
HakutolewaBeki Kyaruzi pia alitolewa?
Tena la OMO.Povu
Na ndio mojawapo aliyefukuzwa kwa kutuhumiwa kuuza mechi hiyo.Ameshafukuzwa kwenye timu ya Kagera Sugar.Hakutolewa
Haya bana. We jamaa unavyotetea haya Hongereni sana kwa ushindi. Ila msirudie kununua mechiNa ndio mojawapo aliyefukuzwa kwa kutuhumiwa kuuza mechi hiyo.Ameshafukuzwa kwenye timu ya Kagera Sugar.
Acha umbeaHaya bana. We jamaa unavyotetea haya Hongereni sana kwa ushindi. Ila msirudie kununua mechi
Tulia mkuu time will tell,kwa game ya Leo ubingwa mtautema Tu,hiyo kotei kumbe Ana panchaMwaka huu mbona mna mchecheto sana. Marefa hawatawabeba tena hivyo mpira uwanjani. Tunataka bingwa wa halali.
Acha shoboAcha umbea
Lini ndanda iliifunga Simba?! Na ule mgoli aliojifunga beki wa Jkt, manji alinunua?! Kama inauma, chomoa!Ndanda wametia aibu sana. TFF ichunguze hii game Jamal Malinzi hii game imeuzwa hadi kipofu anaona mchezo mchafu ulivyofanyika. Chunguzeni hii mechi
Bora aliyepasia, kuliko aliyeamua kuwafungia goli kabisa! Naona nauli yenu ya kwenda kuleta fitna mtwara inawauma? Mnakimbia wakati hamna breki, what do you expect?![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji30] uuuuuwiiii!!yaani kipindi cha pili mabeki wa ndanda wanawapasia mafowadi wa simba ili wawafunge kwa staili hii soka letu lina safari ndefu
Kama lile goli lenu la kutenga kwa mkonoNdanda wametia aibu sana. TFF ichunguze hii game Jamal Malinzi hii game imeuzwa hadi kipofu anaona mchezo mchafu ulivyofanyika. Chunguzeni hii mechi
sisi yanga wala hatuna presha,tunajua pa kuwapitia this time yanga bingwa tenaKotei alipigwa kiwiko bila refa kuchukua hatua. Na umekuwa mtabiri mzuri kwani ubingwa mtautema.
Kama huna ushahidi unatia aibu tu humu ndani.Tulie sana kwa lipi? Kwa wanunuaji mechi ? Ilichokifanya simba leo ni unproffessional kwenye football. Na mpenzi yoyote wa mpira wa Tanzania inabidi akemee ununuaji wa mechi kwa nguvu zote.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji123]Pongezi za dhati kwa watani zangu Simba FC wekundu wa msimbazi.
-Ongezeni juhudi zaidi sababu ligi ngumu na ushindani ni mkubwa.
Miss you[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji123]