Hizo jezi za Simba zagawiwa bure?Naomba uongozi wa Simba hii mechi inayokuja watangaze kabisa kabla watu hawajanunua tickets kwamba hakuna kuingia bila jezi ya Simba au nguo nyekundu, itangazwe kwamba hakuna kuingia ukivaa njano, hatutaki wasaliti kwenye mechi hii.
Ijulikane mapema kama utavaa njano huingii getini, wapo wahuni watavaa Simba kwa juu wakiingia watavua, wajulishwe njano ikionekana uwanjani unatolewa, mechi ya Simba halafu wavae madera ya njano na kijani kushangilia wageni.
miaka 4 hamna hata kikombe cha kahawa wewe wenzako ni mtibwa hata namungo wanaafazaliHata Uwanja ingekua Ule wa MO, Yanga wangeingia tu hakuna wa kumzuia Mwananchi labda mkacheze nje ya nchi hii. Wananchi tupo wengi sana, yaani mlipo tupo na tunapotaka jambo letu hakuna wa kutuzuia.
Haya mawazo ya Kijima hayawezi kutolewa na shabiki wa timu kubwa Kama Simba, wewe ni shabiki wa Vwawa United.Naomba uongozi wa Simba hii mechi inayokuja watangaze kabisa kabla watu hawajanunua tickets kwamba hakuna kuingia bila jezi ya Simba au nguo nyekundu, itangazwe kwamba hakuna kuingia ukivaa njano, hatutaki wasaliti kwenye mechi hii.
Ijulikane mapema kama utavaa njano huingii getini, wapo wahuni watavaa Simba kwa juu wakiingia watavua, wajulishwe njano ikionekana uwanjani unatolewa, mechi ya Simba halafu wavae madera ya njano na kijani kushangilia wageni.
Hakika umenenaMkitaka hvyo nendeni kachezeeni mechi kwenye uwanja wa mdosi wenu Mo Arena ila Kwa Mkapa hamuwezi mpangia mtu
Aliyewaita Mbumbumbu hakukoseawe rofa kweli kwaiyo na washabiki wa plateau wavae nyekundu?
Hakika mkuuWaachwe waingie tu. Muombee adui maisha marefu ili ashuhudie mafaniko yako.
Hap sasa kam vile hajui plateu ni njano jez zaowe rofa kweli kwaiyo na washabiki wa plateau wavae nyekundu?
hata huko Europe hauwezi kuta timu hasimu zinafanyiana hivi. Hii ni zaidi ya chuki mkuu. Mpira ni mchezo wa fair play. Tukifika hatua hii kuna siku tutauana kisa nimevaa jezi ya njano au kijani na kuingia kuangalia mechi ya Simba.Naomba uongozi wa Simba hii mechi inayokuja watangaze kabisa kabla watu hawajanunua tickets kwamba hakuna kuingia bila jezi ya Simba au nguo nyekundu, itangazwe kwamba hakuna kuingia ukivaa njano, hatutaki wasaliti kwenye mechi hii.
Ijulikane mapema kama utavaa njano huingii getini, wapo wahuni watavaa Simba kwa juu wakiingia watavua, wajulishwe njano ikionekana uwanjani unatolewa, mechi ya Simba halafu wavae madera ya njano na kijani kushangilia wageni.