Simba vs ruvu shooting: Hii Sasa ndio fixed match

Huyo Ihefu amefungiwa kiwanja chake kwa vile utopolo mna kiporo naye,mkishamaliza kiporo kiwanja kinafunguliwa.
Itakuwa hivyo kwa Coastal ambapo mtacheza Arusha siku zote kisha kiwanja kinafunguliwa
Mkuu kwa taarifa iliyopo ni kua uwanja ule bado haujafungiwa na hata coastal union wapo mbarali wanasubiri mechi na Ihefu.
 
Mchezaji ambae hawezi hata kugeuka, hawezi hata kutoa pasi Leo amefunga hat trick[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa kigezo tu cha hao wachezaji kutokuwa na ubora kwenye mechi ya leo, si ndiyo kuuza kwenyewe huko kwa mechi! Kupitia ule mtazamo wenu kwenye ile mechi ya juzi?

Maana mlikuja pia na porojo za wachezaji wa SBS kucheza chini ya kiwango, na hivyo wameuza mechi!
 
Mtu kama john boco ambae hata kugeuka hawezi eti nayeye anatafuta hat trick [emoji848][emoji848][emoji848].. Hiiiiiiiii baghoshaaaaa
Boko bench amechoka so kaamua kwenda kwa babu kuboost mitambo hahahaaa simba na uwizard ni Pete na kidole
 

We kwa akili zako boxer anajua kuliko gyan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we mpira unaangaliaga kweli mkuu ,yule gyan ni mtu na nusu boxer hana mechi nyingi kumzidi gyan
 
Yanga alipokuwa anagawiwa magoli na dada yake sinhida big stars ulikaa wapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Anaumwa ushabiki maandazi huyo mwache aumie. Yaani anafungwa Ruvu unaumia wewe, unaanzaje kwa mfano.?
 

Kocha wao kasema wachezaji wake hawakuwa na recovery nzuri kutoka kwenye mechi dhidi ya azam..sasa sjui tumpinge mkwasa?
 
Kocha wao kasema wachezaji wake hawakuwa na recovery nzuri kutoka kwenye mechi dhidi ya azam..sasa sjui tumpinge mkwasa?
Tatizo lipo kwenu. Ingekuwa ndiyo Yanga imeshinda, tayari mngekuja na zile story zenu za kila siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…