Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Nimepata tetesi kuwa wanaataka bodi ya ligi kuisogeza mbele mchezo ili kuwasaidia hawa wenzetu mshono upate kuponaNakazia!! Na hili wenge walilonalo sasa basi mpaka hiyo tarehe watakuwa nalo bado.
Labda wamuombe Baba yao Tiefuefu asogeze tena mechi mbele.
Na haezi mjibu hapo. 😀Huyo ndio kiboko wa yule msema ovyo wa mnyero 😀
Tuwaambie tu haisaidii kwani kwa sasa hatuna wachezaji njaa njaa ambao watawanunua kama walivyofanya kipindi ile.Nimepata tetesi kuwa wanaataka bodi ya ligi kuisogeza mbele mchezo ili kuwasaidia hawa wenzetu mshono upate kupona
Tetesi game inaweza pigwa kalenda mpaka 22 decTuwaambie tu haisaidii kwani kwa sasa hatuna wachezaji njaa njaa ambao watawanunua kama walivyofanya kipindi ile.
Hivyo hata tukicheza nao january maumivu wayatarajie tu.
Nilisema mapema kabla ya kufungwa kocha Mie simkubali kbs[emoji23][emoji23][emoji23]
Dooh!!Tetesi game inaweza pigwa kalenda mpaka 22 dec
Tumrudishe Julio? Au tumpe Mzawa Selemani Matola ili walau majungu yahamie kwa Wachezaji wenyewe sasa kutoka Benchi la ufundi?Nilisema mapema kabla ya kufungwa kocha Mie simkubali kbs
Hawana lolote hawa wakifungwa kila mtu hawamkubali usishangae wakisema barbara hawamkubaliTumrudishe Julio? Au tumpe Mzawa Selemani Matola ili walau majungu yahamie kwa Wachezaji wenyewe sasa kutoka Benchi la ufundi?