Simba vs Sevilla tutaiona game leo kupitia Tv?

Azam sidhani..si wanasema eti Sportpesa ni kampuni ya kamari..kwahiyo sidhani kama wataonesha..(nilisikia kipindi kile cha michuano ya sportpesa)
Mbona walionyesha ile ya everton ? Au sikumbuki vizuri
 
Azam sidhani..si wanasema eti Sportpesa ni kampuni ya kamari..kwahiyo sidhani kama wataonesha..(nilisikia kipindi kile cha michuano ya sportpesa)
Duh sasa kwa mfano ligi kuu Tanzania Bara ikizaminiwa na Sport pesa itakuaje
 
Angalia kupitia Tanzania Safari Chanel TBC1 ukweli na uhakika leo Alhamis kuanzia saa moja usiku hata kama huna kifurushi cha Azam utaona tuu maana hiyo ni chanel ya bureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Sasa mbona wanarusha zile game za ligi kuu kwa upande wa simba, Yanga na Singida
Azam sidhani..si wanasema eti Sportpesa ni kampuni ya kamari..kwahiyo sidhani kama wataonesha..(nilisikia kipindi kile cha michuano ya sportpesa)
 
Duh sasa kwa mfano ligi kuu Tanzania Bara ikizaminiwa na Sport pesa itakuaje
Msimu huu unaoisha TBL wali itaka ligi kwa pesa ndefu ila Azam aligoma. Hizi ni habari za ndani kabisa so ata hiyo sportpesa hawezi pewa hiyo tender kama hii habari ina ukweli. Sina uhakika ila kuna mtu mwenye akili zake nili msikia akiliongea hili.
 
Duh bas kumbe Azam anapower kubwa ktk ligi ye2..kwaiyo TBL nao alikataa kuungana nae kwasababu niwazee wavilevi
Msimu huu unaoisha TBL wali itaka ligi kwa pesa ndefu ila Azam aligoma. Hizi ni habari za ndani kabisa so ata hiyo sportpesa hawezi pewa hiyo tender kama hii habari ina ukweli. Sina uhakika ila kuna mtu mwenye akili zake nili msikia akiliongea hili.
 
Msimu huu unaoisha TBL wali itaka ligi kwa pesa ndefu ila Azam aligoma. Hizi ni habari za ndani kabisa so ata hiyo sportpesa hawezi pewa hiyo tender kama hii habari ina ukweli. Sina uhakika ila kuna mtu mwenye akili zake nili msikia akiliongea hili.
hii haiwezi kua kweli maana TFF wana ukata wa hali juu
 
Duh bas kumbe Azam anapower kubwa ktk ligi ye2..kwaiyo TBL nao alikataa kuungana nae kwasababu niwazee wavilevi
hii haiwezi kua kweli maana TFF wana ukata wa hali juu
Inaweza ika kweli au siyo kweli. Ila ligi ikidhaminiwa na Sportpesa au TBL, Azam hawezi kuionyesha huo ni ukweli. Kuhusu influence kweli anayo kwa sababu amewekeza sana kwa ajiri ya kuonyesha mechi zetu, kuanzia rasilimali watu mpaka mitambo, pia ameipa sana thamani ligi yetu kwa hiyo jambo lake akiliongea lazima litafikiriwa. Pia inawezekana ata mkataba alioingia na bodi ya Ligi ukawa una kifungu cha kukataza makampuni yenye mlengo huo kupewa haki ya kuwa wadhamini wakuu wa ligi.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Mbona hadi sasa bado dk 20 hapa utalii Chanel hakuna dalili ya kurusha live hii kitu?
 
ila kama yeye ni muumini wa ukweli mbona timu yake ilidhaminiwa na NMB (mambo ya riba)!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…