ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Kwa anayefahamu Channel ipi wataonyesha basi tupeane taarifa mapema ili sie wengine wa hapa Dar tuifuate stadium ikiwa hautaonyeshwa.
Tuombe mungu tu mvua isiharibu burudani hii adimu.
Tuombe mungu tu mvua isiharibu burudani hii adimu.