ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
- Thread starter
- #61
Ni kweli azam ana kila nyenzo za kuinua soka la bongo lakini akijichanganya kwenye dini hataweza.Bora waje washindani wengine wa tv waonyeshe ligi ya bongo, azam naona anaingiza dini kwenye chaneli zake mara kamari, pombe mbona anaonyesha ligi za ulaya ambazo hizo kamari zipo
Vipi kama ingekua enzi za timu ya Pilsner na Chibuku wangeonyesha?