Kati ya vitu ninavyomwomba Mungu aniepushe navyo ni kuwa kichaa.Ule usemi wa kwa mchina hatoki mtu mbele ya simba sc. Je utadhihirika mbele ya Servilla? Servilla washalijua hilo na kusema wanata kuuvunja huo mwiko. Wameapa kuweka first eleven yao na kusema watacheza kufa au kupona. Tusubir tuone
hivi hii mechi inachezwa lini?
Kwanini mkuu. Kwa mchina pagumu sana kwa timu zinazocheza na simba sijui kwanini.Kati ya vitu ninavyomwomba Mungu aniepushe navyo ni kuwa kichaa.
Kwa mchina safari hi pagumu
Hata Mimi huwa sijui kwa nini namwomba Mungu aniepushe na ukichaa.Kwanini mkuu. Kwa mchina pagumu sana kwa timu zinazocheza na simba sijui kwanini.
SimbaPagumu kwa servilla au simba?
Sevilla mkuuNi Sevilla sio Servilla
Kwani inachezwa spain? Matokeo hayo yanakuaga nje ya TZ mkuuFT: Simba SC 0_Sevilla FC 5+,
Hata wangechezea sayari ya Mars,hizo ndio goli atakazofungwaKwani inachezwa spain? Matokeo hayo yanakuaga nje ya TZ mkuu
Hata wangechezea sayari ya Mars,hizo ndio goli atakazofungwa
Kagera huwa anawachapia wapi?Kwanini mkuu. Kwa mchina pagumu sana kwa timu zinazocheza na simba sijui kwanini.