- Thread starter
- #21
Sevilla mkuu. Mi nahisi hawatoki mkuu wewe unasemaje
Hakuna team inayoitwa servilla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna team inayoitwa servilla
Hapa tunazungumzia timu kotoka nje mkuuKagera huwa anawachapia wapi?
Mimi nasema wale sio rahisi kuwapa muamalaSevilla mkuu. Mi nahisi hawatoki mkuu wewe unasemaje
Al ahly, vita, js soura na tp mazembe walipewa muamala?Mimi nasema wale sio rahisi kuwapa muamala
Pagumu kwaTimu kutoka nje ya Tz isipokuwa Bandari ya Kenya (Kumbuka sports pesa) 😀😀😀 natania tu!Kwanini mkuu. Kwa mchina pagumu sana kwa timu zinazocheza na simba sijui kwanini.
TFF nahisi walitaka kukwepa aibu ndio maana sevilla imepewa simbaPagumu kwaTimu kutoka nje ya Tz isipokuwa Bandari ya Kenya (Kumbuka sports pesa) [emoji3][emoji3][emoji3] natania tu!
Simba ndio inawakilisha Tanzania. Naona juzi wachezaji wa sevilla walikuwa wanahojiwa wanasema wanaijua simba tu afrika masharikiZidi kuamini hivyo mleta uzi ukija kushituka umepigwa tatu unadondoka unakufa.
Ata mimi niliona hayo mahojiano, kuna mmoja akasema hii ni kama ndoto inatimia, anavutiwa sana na shangwe la mashabiki wa Simba na wao wasingefurahi kucheza na timu nyingine zaidi ya Simba na kama ingetokea wangeleta kikosi B.Simba ndio inawakilisha Tanzania. Naona juzi wachezaji wa sevilla walikuwa wanahojiwa wanasema wanaijua simba tu afrika mashariki
Leta link apa tuchek wenyewe maana ninyi mikia mmezid umbeaAta mimi niliona hayo mahojiano, kuna mmoja akasema hii ni kama ndoto inatimia, anavutiwa sana na shangwe la mashabiki wa Simba na wao wasingefurahi kucheza na timu nyingine zaidi ya Simba na kama ingetokea wangeleta kikosi B.
Wenzako wapo airport wanamsubiri Zahera wakatiwe chaoLeta link apa tuchek wenyewe maana ninyi mikia mmezid umbea
Hizo ni za Zahera tu wengine wapambane na hali zaoWenzako wapo airport wanamsubiri Zahera wakatiwe chao
Edit jina la SevillaUle usemi wa kwa mchina hatoki mtu mbele ya simba sc. Je utadhihirika mbele ya Servilla? Servilla washalijua hilo na kusema wanata kuuvunja huo mwiko. Wameapa kuweka first eleven yao na kusema watacheza kufa au kupona. Tusubir tuone
Servilla?? Hii timu ipo ktk ligi ya nchi gani?Ule usemi wa kwa mchina hatoki mtu mbele ya simba sc. Je utadhihirika mbele ya Servilla? Servilla washalijua hilo na kusema wanata kuuvunja huo mwiko. Wameapa kuweka first eleven yao na kusema watacheza kufa au kupona. Tusubir tuone
Mtani unakiamini unachokiongea?Zidi kuamini hivyo mleta uzi ukija kushituka umepigwa tatu unadondoka unakufa.
Yees Mtani.Mtani unakiamini unachokiongea?