Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saa Kumi na moja.Mechi saa ngapi wakuu?
Ubabaishaji ratiba wameandika saa kumi nimekimbia haraka kumbe hora.Saa Kumi na moja.
Umeongea fact chief.Ni vitu vya kawaida sana hivyo, kwa sasa Wameshavutiwa na Lally Bwalya.
Hata SIMBA iliondoka Msumbiji na Konde Boy, ilivyokwenda Zimbabwe ikaondoka na Chikwende. Soka ni Biashara ukifika bei unanunua tu.
Punguza kuwashwa wewe Churra. Tuletee Kalenda zako za Uzazi wa Mpango tuwanunulie Wifi zako. Punguza kushupuza Mishipa ya Shingo Wanaume wakiwa wanapambana Uwanjani.hili bonanza kumbe bado halijaisha
kwamba leo nyau anachukua m15 kama alivyo fanya yanga mapinduzi cup hahahaha
kuna mwanaume uwanjani zaidi ya TUISILA KISINDA muulize babu onyango atakwambiaPunguza kuwashwa wewe Churra. Tuletee Kalenda zako za Uzazi wa Mpango tuwanunulie Wifi zako. Punguza kushupuza Mishipa ya Shingo Wanaume wakiwa wanapambana Uwanjani.
kombe la timu 3 hahahaha kombe upumbavuKama utopolo wanaangalia huu mpira wanajua njia pekee ya kuchukua hili kombe ni kuliiba ila kimpira Simba wako mbali sana
Tuisila Kisinda siyo Mchezaji wewe yule ni Mwanariadha tu akija Simba atakaa benchi kama Ilivyo kwa Gadiel, Ajib, Morrison, Niyonzima na Kakolanya ambao walikuwa kwenye 11 bora wa Utopolo lkn Msimbazi wakasugua mbao tu!kuna mwanaume uwanjani zaidi ya TUISILA KISINDA muulize babu onyango atakwambia
Andaeni la kwenu mbona mnateseka namna hiikombe la timu 3 hahahaha kombe upumbavu
pointi 4 mmenyanyua ndoo na kitita cha 15 m alafu fainal umecheza na timu yenye pointi 0 huku mwenye point 3 katolewa.Andaeni la kwenu mbona mnateseka namna hii