Simba vs TP Mazembe, ila nna hofu Leo jamaa wanaondoka na Konde Boy!

Simba vs TP Mazembe, ila nna hofu Leo jamaa wanaondoka na Konde Boy!

kwamba haikuwa fainal kwamba hujui mshindi alikuwa apatikane katika mechi hii ndo maana ya fainal

kwani fainali ni nini? si mchezo wa mwisho kuamua mshindi wa ligi,mchezo ama bonanza kama leo

wewe kwa akili yako wajua fainali ni nn?
Lah aisee ... Ndio maana tunaburuzwa na mtu mmoja ,wajinga mpo wengi Sana!
 
Wewe kichwa unga,
Mshindi wa EPL anapatikana vp? Kuna fainali?
fainali ni nini?

epl ana timu ngap?

epl mchezaji bora ana goli 2

acha kufananisha epl,vpl,mapinduzi na huo upumbavu
 
Mlio uwanjani ,mtuletee updates!

Ila ninahofu Hawa jamaa leo wanaondoka na Konde Boy ...Kama walivofanya kwa Samata
Simba wenyewe wamesema kuwa wao moja ya malengo yao ni kuuza wachwzaji,kwahiyo usijali sana
 
Huujui Mpira wewe yale yale Mnamwacha Kabamba mnasajili akina Ukoko na Mwanariadha Kisinda
Sasa nyie mna timu,Mazembe wachezaji wao 9 wapo CHAN,mnashinda kuwafunga alafu mnatupigia makelele kwamba mmesajili jana ushubwada mtupu.
 
Sasa nyie mna timu,Mazembe wachezaji wao 9 wapo CHAN,mnashinda kuwafunga alafu mnatupigia makelele kwamba mmesajili jana ushubwada mtupu.
Wewe unajua TP MAZEMBE wanaMapro Wangapi?? Kwani Wachezaji wa Simba walioko CHAN ni wangapi? Wachezaji Wazawa na Wachezaji Maproo nani zaidi? Kuwa Mpole uendelee kuuza Kalenda zako za Uzazi wa Mpango.
 
Wewe unajua TP MAZEMBE wanaMapro Wangapi?? Kwani Wachezaji wa Simba walioko CHAN ni wangapi? Wachezaji Wazawa na Wachezaji Maproo nani zaidi? Kuwa Mpole uendelee kuuza Kalenda zako za Uzazi wa Mpango.
Wapo kwenye first eleven?

Ukimtoa Kapombe na Manula nani yupo kwenye first eleven ya Simba?


Huna timu wewe,timu yako nzuri kwenye makaratasi,ila uwanjani hovyo.
 
fainali ni nini?
Fainali hutumika Kama mechi zimechezwa kwenye Makundi ...robo,nusu ,then fainali!hapa anakuwa anatafutwa mshinfmdi siku ya fainali,bila kujali pointi,magoli Wala Nini...ndio maana huwa inaenda Hadi penalti...nimekudojeza kidogo tu ..baada ya kubaini kuwa kweli wewe Ni Utopolo haswa!
 
*Mazungumzo kati ya injinia hersi na tp mazembe*manager
Injinia: habari mkuu
Tp: salama
Injinia:mkuu naomba game ya kirafiki
Tp: Wewe ni nan
Injinia; mkurugenz wa gsm
Tp: gsm ni timu gan
Injinia : sio timu mkuu bali kampuni ya kutengeneza nagodoro
Tp: kwahyo unataka tucheze na wafanyakaz wa gsm
Injinia: 🤔hapana mkuu yanga
Tp: yanga ndo ile timu inacheza shirikisho ya lindi anapocheza sey😎😎
Injinia: 🙄🙄hapana ile ni namungo mkuu
Tp: kwan nan star kwenye timu hiyo😎
Injinia 🤔:kisinda mkuu
Tp: 😡😡 kisinda!!!
Injinia: ndio
Tp😱ooh nynyi ndo mlipewa wachezaji wawili kwa mkopo na as vita???
Injinia: 🤔 ndio
Tp; unahisi tuna la kujfunza kwa kisinda?
Injia : ndio wameongeza viwango vyao
Tp: ana goli ngap na assist ngap
Injinia: assist mbili na goli tatu za penalty mkuu
Tp:mhhh !! kwenye michuano ya kimataifa au vpl🤔🤔
Injinia: vpl mkuu,,sis kimataifa hatupo ila tunaongoza lig vpl
Tp: 😂😂kuongoza ligi sio sababu maana ata sisi kule kongo motema pembe anaongoza ligi ila sisi tuna vipolo😂🤔vip Kwan simba hana vipolo??
Injinia: 🙄🙄wanavyo vitatu
Tp:nilijua tuu,,hivi kwa mpira walotuchezea simba mna la kusema kuhusu ubingwa??
Injinia: 😔tutapambans mkuu
Tp:siwez haribu muda na kuchosha wachezaji wangu kwa timu haiko kimataifa afu star ni kisinda alieshindwa lig ya kongo😎😎😎
Injinia :,mkuu ila pia sisi ni mabingwa wa mapinduz cup😔
Tp:lile kombe ambalo hadi ligi daraja la pili wanashiriki nalo ni kombe😂
Injinia:ila tuliwapiga simba kwenye matuta final mkuu😊😊
Tp:bwalya , miquson,chama na onyango walikuepo??
Injinia:alikuepo onyango tu😔
Tp:ndo maana
Injinia : kwahyo
Tp: hatuna la kujifunza kwenu tafuten timu hizo za level yenu
Tp: any way mna ela ya maji
Injinia : tutawalipa tukiuza kalenda mkuu
Tp:fala nn kwenda huko na ufukala wenu labda tuwaunganishe na Kinshansa United inayocheza drj la III 😡😡😡😡😡
 
Back
Top Bottom