zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
kweli mkuu mwanariadha aliye mlambisha mchanga babu onyangoTuisila Kisinda siyo Mchezaji wewe yule ni Mwanariadha tu akija Simba atakaa benchi kama Ilivyo kwa Gadiel, Ajib, Morrison, Niyonzima na Kakolanya ambao walikuwa kwenye 11 bora wa Utopolo lkn Msimbazi wakasugua mbao tu!