Simba vs TP Mazembe: Rekodi za nyuma

Simba vs TP Mazembe: Rekodi za nyuma

Acha kujifariji wewe japo mpira ni mpira lakini TP MAZEMBE,kwa mpira uwezo wake ni mkubwa sana kulinganisha na simba.timu imechukua kombe mala tano!!!uilinganishe na timu ambayo kwanza ndio imeingia robo fainali??tatizo letu huwa tunafarijiana tu mdomoni ila moyoni tunajua ukweli kama sio ROHONI!!!baada ya mchzo ndio mnaanza kujifariji oooh ile timu ina uwekezaji mkubwa!!!
Ulitegemea bingwa wa kihistoria Wa UEFA Real Madrid angetolewa na ajax??? Mpira hauko ivo acha kukariri
 
Acha kujifariji wewe japo mpira ni mpira lakini TP MAZEMBE,kwa mpira uwezo wake ni mkubwa sana kulinganisha na simba.timu imechukua kombe mala tano!!!uilinganishe na timu ambayo kwanza ndio imeingia robo fainali??tatizo letu huwa tunafarijiana tu mdomoni ila moyoni tunajua ukweli kama sio ROHONI!!!baada ya mchzo ndio mnaanza kujifariji oooh ile timu ina uwekezaji mkubwa!!!
Kauli kama hii ilitolea kwenye awamu ya kwanza ikaenda kwenye group stage na kuna baadhi ya wachambuzi walisema simba underdog.

Kwaiyo sikushaangai ila simba inafika fainali nakuambia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo mkuu Mashujaa Fc kumfunga Simba kunahalalisha Simba kufungwa na Mwadui fc?!
we mwenyewe shahidi siku ile uliona kikosi kilichoanza sio kinacho anza kwenye mashindano haya ya CAF, na huyu mazembe mnae mkubali makali yake yaliishia 2015, sikuhizi anapigika vizuri,
 
Acha kujifariji wewe japo mpira ni mpira lakini TP MAZEMBE,kwa mpira uwezo wake ni mkubwa sana kulinganisha na simba.timu imechukua kombe mala tano!!!uilinganishe na timu ambayo kwanza ndio imeingia robo fainali??tatizo letu huwa tunafarijiana tu mdomoni ila moyoni tunajua ukweli kama sio ROHONI!!!baada ya mchzo ndio mnaanza kujifariji oooh ile timu ina uwekezaji mkubwa!!!
Record za kuchukua mara 5 sio issue. Ukumbuke hata yeye hakuwahi kuchukua na alipita kwa hao hao waliochukua mpaka akawa bingwa. Timu zinapanda na kushuka.
Wewe sema tu mechi itakua ngumu, hizo sababu nyingine ni mboyoyo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
we mwenyewe shahidi siku ile uliona kikosi kilichoanza sio kinacho anza kwenye mashindano haya ya CAF, na huyu mazembe mnae mkubali makali yake yaliishia 2015, sikuhizi anapigika vizuri,
Na unamzungumziaje hii ishu ya kuipiga 8 Club Africans iliyokamata nafasi ya pili kwenye group? Unahisi wamebahatisha?!
 
Kauli kama hii ilitolea kwenye awamu ya kwanza ikaenda kwenye group stage na kuna baadhi ya wachambuzi walisema simba underdog.

Kwaiyo sikushaangai ila simba inafika fainali nakuambia

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ungeelewa neno underdog linavyotumika kwenye michezo wala usingewalaumu hao wachambuzi. Au sema mwenyewe kuelekea mechi ya Simba Vs Tp Mazembe nani underdog hapo? Tp Mazembe?! Kuitwa underdog hakumaanisha hamuwezi kushinda ila kufanya maajabu kama mlivyofanya group stage.
 
Na unamzungumziaje hii ishu ya kuipiga 8 Club Africans iliyokamata nafasi ya pili kwenye group? Unahisi wamebahatisha?!
Club African hajashika nafasi ya pili kwenye group, nafasi ya pili imeshikwa na constantine. Alafu point alizo fuzu nazo mazembe ni 11. Na alikuwa na timu za kawaida, kumbuka simba ilipangwa na timu mbili ambazo zote zilicheza fainali mwaka Jana na tumeweza kupita, pia kumbuka hao mazembe tuliwasumbua sana 2011, sasa linganisha ubora wa simba ya 11 na hii ya 2019. Alafu bado sisi tuna njaa na hamu Ku linganisha na wao ambao wamesha libeba hili kombe
 
Pia kwa rekodi za hivi karibuni Mazembe amemchabanga mtu 8-0 au hii haiendani na vichapo?
Kichapo hicho alikitoa akiwa nyumbani. Ugenini hana kitu!! huko ugenini na yeye anaweza kuchezea kichapo kama hicho!
 
Club African hajashika nafasi ya pili kwenye group, nafasi ya pili imeshikwa na constantine. Alafu point alizo fuzu nazo mazembe ni 11. Na alikuwa na timu za kawaida, kumbuka simba ilipangwa na timu mbili ambazo zote zilicheza fainali mwaka Jana na tumeweza kupita, pia kumbuka hao mazembe tuliwasumbua sana 2011, sasa linganisha ubora wa simba ya 11 na hii ya 2019. Alafu bado sisi tuna njaa na hamu Ku linganisha na wao ambao wamesha libeba hili kombe
Saaaaaafiiiii!
 
Kwasasa rekodi hazina maana tena maana siku hizi timu nyingi zimesomana sana, na mambo ya rekodi ya nyuma au kuwa nyumbani hayana nafasi sana,

Maana inategemea kipindi hicho timu zimejipanga vipi, na kwa wakati huu zijoke

LAKIN NAWATAHADHARISHA SIMBA,
WATAKUTANA NA NGUVU YA KENGE KU MAJYI,

NDENGE NINI EZARI MAKAMBO YA MAKIADI luambo makiadi
Britannica mikoro mingi tomonanite ozali wapi ndeko nangai makambo eleki
 
Kwani simba ni nani?
Masahabiki ndio Simba yenyewe, wachezaji wanakuja na kutoka. Huo ujumbe wa kuwachukulia poa unatakiwa uupeleke kwa wachezaji, humu washabiki hata wakiuchukulia poa halafu wachezaji wakauchukulia serious, ushauri wako hauna maana
 
Rekodi za nyuma zinaonyesha kuwa Simba na TP Mazembe walikutana mwaka 2011 kwenye CAF Champions League raundi ya kwanza:
Mechi ya kwanza ilipigwa Dar- Simba 2, TP Mazembe 3.
Mechi ya Pili ilipigwa DRC - TP Mazembe 3, Simba 1.
Kwenye mechi ya kwanza magoli ya Simba yalifungwa na Mkina dk 58 na Mbwana Samatta dk 70.
Mechi ya pili goli la simba lilifungwa na Emmanuel Okwi

Samatta aliwasumbua sana, na ndio chanzo cha wao kumnunua. Pia Okwi aliwasumbua sana.
Kiwango cha Simba cha sasa ni kikubwa kulioko cha wakati huo. Na kiwango cha TP Mazembe cha wakati huo ni kikubwa kuliko cha sasa! Wao wameshuka sisi tumepanda. Kwa hiyo Safari hii hawachomoki lazima Simba atafune mtu hapa kwetu na ugenini.
TP Mazembe hana rekodi ya kuifunga Simba magoli mengi.
Simba wanatamani hiyo mechi ingekuwa hata kesho watafune mtu!!
Acha kusumbua watu, mechi yenyewe haitakuwepo. Weka rekodi za AS Vita vs TP Mazembe.

Simba labda muombe mechi na Sanga Balende maana hawako bize. Ndio mkome kuwekea wenzenu madawa ya usingizi
 
Back
Top Bottom