Wewe unauhakika gani??Acha kujifariji,
Simba inaweza kukomaa kwa draw tu hapo dar ,lakin lubumbashi kunachimbika
Ulitegemea bingwa wa kihistoria Wa UEFA Real Madrid angetolewa na ajax??? Mpira hauko ivo acha kukaririAcha kujifariji wewe japo mpira ni mpira lakini TP MAZEMBE,kwa mpira uwezo wake ni mkubwa sana kulinganisha na simba.timu imechukua kombe mala tano!!!uilinganishe na timu ambayo kwanza ndio imeingia robo fainali??tatizo letu huwa tunafarijiana tu mdomoni ila moyoni tunajua ukweli kama sio ROHONI!!!baada ya mchzo ndio mnaanza kujifariji oooh ile timu ina uwekezaji mkubwa!!!
Na huyu mazembe mnaye msifia asingepita mbele ya al ahaly na vita, as vita kila siku anamyuka mazembe uko asingetoboa kwenye group letu, alipangiwa vibondeKatika grp stage alimpa huyu mwarabu 8-0 pale lubumbashi,na huyu huyu aliepigwa 8 ndie alieshika nafasi ya pili kwenye grp la tp mazembeView attachment 1050841
Kauli kama hii ilitolea kwenye awamu ya kwanza ikaenda kwenye group stage na kuna baadhi ya wachambuzi walisema simba underdog.Acha kujifariji wewe japo mpira ni mpira lakini TP MAZEMBE,kwa mpira uwezo wake ni mkubwa sana kulinganisha na simba.timu imechukua kombe mala tano!!!uilinganishe na timu ambayo kwanza ndio imeingia robo fainali??tatizo letu huwa tunafarijiana tu mdomoni ila moyoni tunajua ukweli kama sio ROHONI!!!baada ya mchzo ndio mnaanza kujifariji oooh ile timu ina uwekezaji mkubwa!!!
Kwa hiyo mkuu Mashujaa Fc kumfunga Simba kunahalalisha Simba kufungwa na Mwadui fc?!Na huyu mazembe mnaye msifia asingepita mbele ya al ahaly na vita, as vita kila siku anamyuka mazembe uko asingetoboa kwenye group letu, alipangiwa vibonde
we mwenyewe shahidi siku ile uliona kikosi kilichoanza sio kinacho anza kwenye mashindano haya ya CAF, na huyu mazembe mnae mkubali makali yake yaliishia 2015, sikuhizi anapigika vizuri,Kwa hiyo mkuu Mashujaa Fc kumfunga Simba kunahalalisha Simba kufungwa na Mwadui fc?!
Kwani simba ni nani?Unawaambia mashabiki au wachezaji?
Record za kuchukua mara 5 sio issue. Ukumbuke hata yeye hakuwahi kuchukua na alipita kwa hao hao waliochukua mpaka akawa bingwa. Timu zinapanda na kushuka.Acha kujifariji wewe japo mpira ni mpira lakini TP MAZEMBE,kwa mpira uwezo wake ni mkubwa sana kulinganisha na simba.timu imechukua kombe mala tano!!!uilinganishe na timu ambayo kwanza ndio imeingia robo fainali??tatizo letu huwa tunafarijiana tu mdomoni ila moyoni tunajua ukweli kama sio ROHONI!!!baada ya mchzo ndio mnaanza kujifariji oooh ile timu ina uwekezaji mkubwa!!!
Na unamzungumziaje hii ishu ya kuipiga 8 Club Africans iliyokamata nafasi ya pili kwenye group? Unahisi wamebahatisha?!we mwenyewe shahidi siku ile uliona kikosi kilichoanza sio kinacho anza kwenye mashindano haya ya CAF, na huyu mazembe mnae mkubali makali yake yaliishia 2015, sikuhizi anapigika vizuri,
Mkuu ungeelewa neno underdog linavyotumika kwenye michezo wala usingewalaumu hao wachambuzi. Au sema mwenyewe kuelekea mechi ya Simba Vs Tp Mazembe nani underdog hapo? Tp Mazembe?! Kuitwa underdog hakumaanisha hamuwezi kushinda ila kufanya maajabu kama mlivyofanya group stage.Kauli kama hii ilitolea kwenye awamu ya kwanza ikaenda kwenye group stage na kuna baadhi ya wachambuzi walisema simba underdog.
Kwaiyo sikushaangai ila simba inafika fainali nakuambia
Sent using Jamii Forums mobile app
Club African hajashika nafasi ya pili kwenye group, nafasi ya pili imeshikwa na constantine. Alafu point alizo fuzu nazo mazembe ni 11. Na alikuwa na timu za kawaida, kumbuka simba ilipangwa na timu mbili ambazo zote zilicheza fainali mwaka Jana na tumeweza kupita, pia kumbuka hao mazembe tuliwasumbua sana 2011, sasa linganisha ubora wa simba ya 11 na hii ya 2019. Alafu bado sisi tuna njaa na hamu Ku linganisha na wao ambao wamesha libeba hili kombeNa unamzungumziaje hii ishu ya kuipiga 8 Club Africans iliyokamata nafasi ya pili kwenye group? Unahisi wamebahatisha?!
Kichapo hicho alikitoa akiwa nyumbani. Ugenini hana kitu!! huko ugenini na yeye anaweza kuchezea kichapo kama hicho!Pia kwa rekodi za hivi karibuni Mazembe amemchabanga mtu 8-0 au hii haiendani na vichapo?
Saaaaaafiiiii!Club African hajashika nafasi ya pili kwenye group, nafasi ya pili imeshikwa na constantine. Alafu point alizo fuzu nazo mazembe ni 11. Na alikuwa na timu za kawaida, kumbuka simba ilipangwa na timu mbili ambazo zote zilicheza fainali mwaka Jana na tumeweza kupita, pia kumbuka hao mazembe tuliwasumbua sana 2011, sasa linganisha ubora wa simba ya 11 na hii ya 2019. Alafu bado sisi tuna njaa na hamu Ku linganisha na wao ambao wamesha libeba hili kombe
Britannica mikoro mingi tomonanite ozali wapi ndeko nangai makambo elekiKwasasa rekodi hazina maana tena maana siku hizi timu nyingi zimesomana sana, na mambo ya rekodi ya nyuma au kuwa nyumbani hayana nafasi sana,
Maana inategemea kipindi hicho timu zimejipanga vipi, na kwa wakati huu zijoke
LAKIN NAWATAHADHARISHA SIMBA,
WATAKUTANA NA NGUVU YA KENGE KU MAJYI,
NDENGE NINI EZARI MAKAMBO YA MAKIADI luambo makiadi
Ya solo, mawa na ngai soki nasakoli nsango malamu te!”Britannica mikoro mingi tomonanite ozali wapi ndeko nangai makambo eleki
Masahabiki ndio Simba yenyewe, wachezaji wanakuja na kutoka. Huo ujumbe wa kuwachukulia poa unatakiwa uupeleke kwa wachezaji, humu washabiki hata wakiuchukulia poa halafu wachezaji wakauchukulia serious, ushauri wako hauna maanaKwani simba ni nani?
Acha kusumbua watu, mechi yenyewe haitakuwepo. Weka rekodi za AS Vita vs TP Mazembe.Rekodi za nyuma zinaonyesha kuwa Simba na TP Mazembe walikutana mwaka 2011 kwenye CAF Champions League raundi ya kwanza:
Mechi ya kwanza ilipigwa Dar- Simba 2, TP Mazembe 3.
Mechi ya Pili ilipigwa DRC - TP Mazembe 3, Simba 1.
Kwenye mechi ya kwanza magoli ya Simba yalifungwa na Mkina dk 58 na Mbwana Samatta dk 70.
Mechi ya pili goli la simba lilifungwa na Emmanuel Okwi
Samatta aliwasumbua sana, na ndio chanzo cha wao kumnunua. Pia Okwi aliwasumbua sana.
Kiwango cha Simba cha sasa ni kikubwa kulioko cha wakati huo. Na kiwango cha TP Mazembe cha wakati huo ni kikubwa kuliko cha sasa! Wao wameshuka sisi tumepanda. Kwa hiyo Safari hii hawachomoki lazima Simba atafune mtu hapa kwetu na ugenini.
TP Mazembe hana rekodi ya kuifunga Simba magoli mengi.
Simba wanatamani hiyo mechi ingekuwa hata kesho watafune mtu!!