madrid wana UEFA 13 na wametolewa na Ajax tukiwaambia hii sio mazembe ile mue mnaelewaAcha kujifariji wewe japo mpira ni mpira lakini TP MAZEMBE,kwa mpira uwezo wake ni mkubwa sana kulinganisha na simba.timu imechukua kombe mala tano!!!uilinganishe na timu ambayo kwanza ndio imeingia robo fainali??tatizo letu huwa tunafarijiana tu mdomoni ila moyoni tunajua ukweli kama sio ROHONI!!!baada ya mchzo ndio mnaanza kujifariji oooh ile timu ina uwekezaji mkubwa!!!
Sasa mkuu madrid ya sasa tena kabla ya zizou kuja unailinganisha na tp mazembe?? Kwenye ligi ya drc, wako nafasi ya ngapi? Kwenyr group stage wamefunga goli kama 16!!na kufungwa 2,simba amefungwa ngapi? Japo mpira una dunda lakini tp mazembe ki uwezo wapo juu ya simba!! Acha mahaba niue!! Tuzungumzie factsmadrid wana UEFA 13 na wametolewa na Ajax tukiwaambia hii sio mazembe ile mue mnaelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu unavyoandika utafikiri unaanza leo kufuatilia mpira sasa kuchukua mara 5 ina matter vipi hapaAcha kujifariji wewe japo mpira ni mpira lakini TP MAZEMBE,kwa mpira uwezo wake ni mkubwa sana kulinganisha na simba.timu imechukua kombe mala tano!!!uilinganishe na timu ambayo kwanza ndio imeingia robo fainali??tatizo letu huwa tunafarijiana tu mdomoni ila moyoni tunajua ukweli kama sio ROHONI!!!baada ya mchzo ndio mnaanza kujifariji oooh ile timu ina uwekezaji mkubwa!!!
Mkuu UONGO sio mzuri alieshika nafasi ya pili kwenye kundi la Tp Mazembe sio huyo Club Africaine ila ni Constantine na ndio yupo Robo fainalKatika grp stage alimpa huyu mwarabu 8-0 pale lubumbashi,na huyu huyu aliepigwa 8 ndie alieshika nafasi ya pili kwenye grp la tp mazembeView attachment 1050841
Mashabiki kama wewe ndo wale tùnaoona mnazīmiaga pale kwa mchina. Mmeķaa kwenye vijiwe vya kahawa na kujiaminisha umbumbumbu kisha mnakuja kutunisha vifua hapaTP Mazembe ni saizi ya Simba kabisa. Ujanja wake ni nyumbani tu. Kwenye makundi ameshinda mechi tatu tu na zote ni za nyumbani. Timu ngumu iliyobaki ni ES Tunis (Esperence) ya Tunisia ambao ni mabingwa watetezi. Yeye kwenye makundi hakuwahi kuchezewa kichapo! Kati ya pointi 18 amejikusanyia pointi 14, kapoteza pointi 4 kwa draw mbili za ugenini. Waliobaki wote pamoja na Simba wameshinda mechi tatu tatu tu na zote zimeshinda mechi za nyumbani. Kwa hiyo hakuna mwenye rekodi ya kutisha hata kutuogopesha zaidi ya ES Tunis!! Come Mazembe and face the Music!!!!!!!!!
Mlianza kujifunza kiswatini, kizambia, kiarabu, kikongo, kote huko hamkuelewa na mkapoteana naona mungu alivyo wa ajabu kawarudisha darasani tena msome kikongo labda mnaweza ambulia ukatibu wa bendi za CongoBritannica mikoro mingi tomonanite ozali wapi ndeko nangai makambo eleki
Kupata maksi nyingi kwenye mitihani siyo kufaulu ktk maisha, na hesabu ukiijua haikusumbui, Simba alicheza na hesabu tu ambazo mlibeza lakini alivyo waduwaza mkaanza kutafuta area of weakness, mmeanza kuja na rekodi kana TP mazembe wana rekodi kuliko Al Ahly mnasahau rekodi zipo kuvunjwa btw endeleeni kuponda Simba ndo tunaweka rekodi na kuvunja rekodiKwenye group stage timu zilizoingia robo fainali simba ndioo timu iliyofungwa magoli mengi (13) na Tp mazembe ndio timu iliyofunga magoli mengi (13)......akili kwenye kichwa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwanja Taifa Simba 4 TP Mazembe 0 FT. Lubumbashi TP Mazembe 3 Simba 0
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliuona toka majuzi ila sijaufungua hata. Ngoja niusome kwanza.
natamani maneno yako yawe ya kweliRekodi za nyuma zinaonyesha kuwa Simba na TP Mazembe walikutana mwaka 2011 kwenye CAF Champions League raundi ya kwanza:
Mechi ya kwanza ilipigwa Dar- Simba 2, TP Mazembe 3.
Mechi ya Pili ilipigwa DRC - TP Mazembe 3, Simba 1.
Kwenye mechi ya kwanza magoli ya Simba yalifungwa na Mkina dk 58 na Mbwana Samatta dk 70.
Mechi ya pili goli la simba lilifungwa na Emmanuel Okwi
Samatta aliwasumbua sana, na ndio chanzo cha wao kumnunua. Pia Okwi aliwasumbua sana.
Kiwango cha Simba cha sasa ni kikubwa kulioko cha wakati huo. Na kiwango cha TP Mazembe cha wakati huo ni kikubwa kuliko cha sasa! Wao wameshuka sisi tumepanda. Kwa hiyo Safari hii hawachomoki lazima Simba atafune mtu hapa kwetu na ugenini.
TP Mazembe hana rekodi ya kuifunga Simba magoli mengi.
Simba wanatamani hiyo mechi ingekuwa hata kesho watafune mtu!!