Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahahaaaa. Tunawaambia wasiseme wakamaliza lakini huwa hawasikii.Hatimaye na wao wamewachukua the so called "wacheza sebene"๐๐
Yameishia wapi ya Al Ahly. ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa. Tunawaambia wasiseme wakamaliza lakini huwa hawasikii.Hatimaye na wao wamewachukua the so called "wacheza sebene"๐๐
Huenda labda al ahly walikuwa msikitiniHahahaaaa. Tunawaambia wasisema wakamaliza lakini huwa hawasikii.
Yameishia wapi ya Al Ahly. ๐
Lol.Upo sahihi mleta habari!
Weka akiba ya maneno Mkuu!Aaah TP Mazembe tutawapiga nyingi ,heri wangeleta hata Zamalek ,Al Ahly ,Mamelodi au Esperance
Hao TP MazembeUbora wa TP Mazembe sikatai ni timu kongwe na bora, ila sisi hizi vilabu vya North Africa ndo zinazotupa tabu tunakutana tu kwenye makundi au mtoano
Vipi Kaizer Chiefs Mkuu ni ya North Africa?Ubora wa TP Mazembe sikatai ni timu kongwe na bora, ila sisi hizi vilabu vya North Africa ndo zinazotupa tabu tunakutana tu kwenye makundi au mtoano
Al ahly wameishia ZanacoHahahaaaa. Tunawaambia wasiseme wakamaliza lakini huwa hawasikii.
Yameishia wapi ya Al Ahly. ๐
Ni lini mliipiga mazembe?Aaah TP Mazembe tutawapiga nyingi ,heri wangeleta hata Zamalek ,Al Ahly ,Mamelodi au Esperance
Yaan mliopo nje mnajua kuliko viongozi wa simba?Ni heri wangekuja Waarabu RS Berkane ili tumuage mchezaji Chama. Au timu toka hata huko Uarabuni
Hawa TP Mazembe walishakuja msimu uliopita, hivyo hawana msisimko kivile wa kuja kujaza uwanja.
timu zote za waarabu zimekataa aibu ya kufungwa Simba day kwa Mkapa,akuna jinsi itabidi tu Simba icheze na Mazembe ingawa Mazembe ni under dog kwa Simba ya sasa.Ubora wa TP Mazembe sikatai ni timu kongwe na bora, ila sisi hizi vilabu vya North Africa ndo zinazotupa tabu tunakutana tu kwenye makundi au mtoano
Simba haina hadhi ya kuwapotezea muda Al Ahly, msiwe mnaamini kila mnachoambiwa.Sasa ni Rasmi Kuwa Simba Watavaana Na TP Mazembe Kwenye Kilele Cha Simba Day.
Hii imethibitishwa na Mtendaji Mkuu wa Simba Madam Barba Kupitia Simba App.
Ushauri: Ni wakati sasa Wa vilabu vya Simba na Yanga Kuacha Kucheza Mechi za Mchangani Bali watafute Ushindani Kwa Timu zingine kubwa Sio Kila mwaka Ni Congo, Zambia Sijui Zimbabwe Mara Kenya.
Kwa sasa Simba Kucheza na TP MAZEMBE NI MEchi Ya Mchangani Kwa Simba.
ni kweli hivi vilabu vya North vinakwepa aibu ,ila heri Mazembe kuliko Zanacotimu zote za waarabu zimekataa aibu ya kufungwa Simba day kwa Mkapa,akuna jinsi itabidi tu Simba icheze na Mazembe ingawa Mazembe ni under dog kwa Simba ya sasa.
Hatimaye na wao wamewachukua the so called "wacheza sebene"[emoji3][emoji3]
Zanaco ndo Utopolo kabisa kwa Simba.watapigwa si chini ya goli nne.ni kweli hivi vilabu vya North vinakwepa aibu ,ila heri Mazembe kuliko Zanaco
Si tulikubaliana hatuchezi na wacheza sebene?๐๐Wako nafasi ya ngapi katika CAF ranking? Na Zanaco pia unijulishe