Simba Vs TP Mazembe: Simba day

Simba Vs TP Mazembe: Simba day

timu zote za waarabu zimekataa aibu ya kufungwa Simba day kwa Mkapa,akuna jinsi itabidi tu Simba icheze na Mazembe ingawa Mazembe ni under dog kwa Simba ya sasa.
"Sisi Simba hatutaki kucheza wala kusajili wa kongo.."
Ha ha ha mnachekesha
 
Ubora wa TP Mazembe sikatai ni timu kongwe na bora, ila sisi hizi vilabu vya North Africa ndo zinazotupa tabu tunakutana tu kwenye makundi au mtoano
Umeanza kufuatilia mpira juzi.

Simba hajawahi kumfunga TP Mazembe popote.

Simba ameshazifunga Raja Casablanca, Al Ahly, Zamalek n co bila shida.

Nawashangaa sana mnaoibeza TP Mazembe kwa kutumia matokeo ya msimu uliopita wakati walikuwa wanajenga kikosi upya.
 
Sasa ni Rasmi Kuwa Simba Watavaana Na TP Mazembe Kwenye Kilele Cha Simba Day.

Hii imethibitishwa na Mtendaji Mkuu wa Simba Madam Barba Kupitia Simba App.

Ushauri: Ni wakati sasa Wa vilabu vya Simba na Yanga Kuacha Kucheza Mechi za Mchangani Bali watafute Ushindani Kwa Timu zingine kubwa Sio Kila mwaka Ni Congo, Zambia Sijui Zimbabwe Mara Kenya.

Kwa sasa Simba Kucheza na TP MAZEMBE NI MEchi Ya Mchangani Kwa Simba.
Labda simba hao yanga mimi zanaco nimeijulia kwao na bado wanahangaika na katimu kashirikisho
 
"Sisi Simba hatutaki kucheza wala kusajili wa kongo.."
Ha ha ha mnachekesha
Ayo maneno kasema nani?,usitulishe maneno wanamsimbazi,Chriss Kope Mugalu ni mcongo.
As Vita ni ya Congo na tuliwafunga nje ndani na Shaban Djuma akiwemo ambae sasa ni mchezaji wa misukule f.c
 
Ayo maneno kasema nani?,usitulishe maneno wanamsimbazi,Chriss Kope Mugalu ni mcongo.
As Vita ni ya Congo na tuliwafunga nje ndani na Shaban Djuma akiwemo ambae sasa ni mchezaji wa misukule f.c
Mlisema tumesajili Kongo ya wanakwaya siku ya Mwananchi...
Kumbe mnapenda wanakwaya pia?
 
Mlisema tumesajili Kongo ya wanakwaya siku ya Mwananchi...
Kumbe mnapenda wanakwaya pia?
Usitulishe maneno.Simba tumetulia tunasubiri mechi zetu mbili za cafcl tuingie makundi,wakati huo nyinyi mtakua out mnapiga domo tu.
 
Back
Top Bottom