Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee kumbe ulikuwa hujui Rage ni Yanga damu? mrudishe Dalali (mzee wa 100%)huyu jamaa yeye anawaza kampeni tu wakati wenzao wana waza mpira....
Sasa ulitaka wacheze woote au? wanacheza 11 tu at a time.Manake tulipewa list ya wachezaji kibao wa Simaba hapa kuwa hawatocheza mechi ya leo
Kweli mkuu, yaani tumekosa nafasi 6 za wazi wao wamepata mbili moja wametumia kweli mpira dakika 90, hii game ilikuwa siyo ya kufungwa yanga wabovu tumshaanza ulozi wenu.
kama kwenye siasa mngekuwa hivyo naamini tusingekuwa na mafisadi.
kama tumefungwa tukubali kwamba game haikuwa yetu leo ingawa tuliwashika kinoma babake
sasa jueni kijani inatisha
Aisee nazungumzia habari ya Yanga hapa wala sio mafisadi... Nazungumzia Dar Young Africans. Mimi siko kabisa kwa hao mafisadi.kama nyie mnavo jianda kukataa matokeo...Ujue Dr Slaa ndiyo rais wako kuanzia tarahe 31-10-2010 halafu mmeniudhi na yale matangazo yenu ati ametekeleza ahadi zake zipi? za maisha bora kwa kila mtanzania, eti kapambana na ufisadi **** kabisa...
Mtani, Usiombe kipofu akauona mwezi!
namsaka ASPIRIN nimnywe kisha niende NJENJE maana kulala ni kuongeza ndoto mbaya.man 2:2
simba 0:1
maumivu tu ngoja nikalale
soka la bongo halikui kwa sababu tulalimix sana na siasa zetu chafu.kama nyie mnavo jianda kukataa matokeo...Ujue Dr Slaa ndiyo rais wako kuanzia tarahe 31-10-2010 halafu mmeniudhi na yale matangazo yenu ati ametekeleza ahadi zake zipi? za maisha bora kwa kila mtanzania, eti kapambana na ufisadi **** kabisa...
kama nyie mnavo jianda kukataa matokeo...Ujue Dr Slaa ndiyo rais wako kuanzia tarahe 31-10-2010 halafu mmeniudhi na yale matangazo yenu ati ametekeleza ahadi zake zipi? za maisha bora kwa kila mtanzania, eti kapambana na ufisadi **** kabisa...kataeni matokeo
semeni goli ni offside
ulalamishi kama huu tunausubiri uje kwa chadema
mwaka huu mtahesabia maumivu sana
Dah....:redfaces::redfaces::redfaces:man 2:2
simba 0:1
maumivu tu ngoja nikalale
Samahani mkuu, ni mchanganyikia kipingo mara mbili nilikuwa na taka kumjibu mtu wa pwani