Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,125
- 7,373
Ubashiru gani Tena wakati kesho sisi Simba hatuchezi! Labda waondoe mabango yakipuuzi ya GSM uwanjani..yaani tupambane kujitangaza kimataifa kwa Jasho letu..alafu huyu tapeli GSM..atumie mgongo wetu kujitangaza kimataifa kwa Jasho letu..shenzy kabisa!!!