Simba wa Teranga: Kikosi cha dhahabu kilichotikisa Dunia

daaaa nakumbuka mbali enzi hizo antena ya kushikiria na channel moja ya Uganda UBC ndo waonyeshaji tu
 
mkuu hivi ile habari ya huyo jamaa mwenye jezi namba 10 kuiba cheni ilikuwa ni kweli??
 
Diof alikinogesha sana kikosi hiki imebaki story tu raha ya world cup ya 2002 ililetwa na hawa jamaa
 
Senegal walianza kuongoza dhidi ya uturuki magoli yakakataliwa iliuma sana ila lilipofungwa la uturuki likawa goli. Wazungu wana wivu sana.
 
Nlikua STD 4
Khaaaah!!! Yafaaa muanzage na salamu zile za wanasiasa "wakubwa zangu Shikamoni" ndipo muanze changia siledi. Mie nachumbia mwaka huo tena kwa shida sio Kama siku hz mnatumiana meseji. Demu anaviziwa j2 tu, ukimkosa halo basi. Kweli aisee wahenga tulikuwa na Akili na uwezk mkubwa wa kutunza record. [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Pana mmoja muungwana katika ule uzi wa kikosi cha uholanzi alisoma comments basi alichoweza kuandika ni hivi "kwanza kabisa kaka zangu shikamoni"hakuandika kitu kingine.
 
Du!! Kaka umenikumbusha Mosses Chikwarakwara waZambia mwaka hiyo aliyefariki pamoja na wale 22 kwenye hiyo ajali. Alikuwa na uwezo km Lunyamila wa Yanga. Winga machachari sana. One day nimemuona akiwa dereva.
 
Nilikua kidato cha pili, Shule ya sekondari Makutupora-Dodoma, mtihani wa Mock nililazimika kuuacha mitihani niwahi mechi. Ni kipindi hiki ndio nilikua mwanzo wa mateso ya kishabiki yanayonitesa mpaka Leo jinamizi la kuipenda Arsenal.
Pole sana. [emoji3] [emoji3] Hamia man city mwaka huu naona wapenzi wao Wanabet kwa uhakika.
 
Du!! Kaka umenikumbusha Mosses Chikwarakwara waZambia mwaka hiyo aliyefariki pamoja na wale 22 kwenye hiyo ajali. Alikuwa na uwezo km Lunyamila wa Yanga. Winga machachari sana. One day nimemuona akiwa dereva.
Hiyo ilikuwa kk au kenneth kaunda 11 sio mchezo akina derby makinka Eston mulenga palikuwa na bwana mdogo mmoja alikuwa na miaka 19 au ishirini wa kuitwa kelvin mutale ndio kwanza atoke kupiga hattrick watson changwe pana wisdom chansa huku John soko pale numba mwila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…