Simba wa Teranga: Kikosi cha dhahabu kilichotikisa Dunia

Hilo hpo goli la senegal dhid ya ufaransa
 

Attachments

  • France - Senegal 0-1 [FIFA World Cup 2002 Highlights].mp4
    3.8 MB
Siki zote namsikitia fadiga.. maradhi ya moyo yalimnyima nafasi yake ya kufika mbali japo jamaa mpira alikuwa akiuujua sana

mi namkumbukaga huyu fadiga alikua anaenda kurusha mpira,refarii akamwambia achomekee kwanza jezi ndio arushe mpira,basi akawa anachomekea huku anamuangalia refa kwa dharau sana,ile clip hadi ilirudiwa na mtangazaji alicheka sana.Kifupi kikosi hiki mpira walikua wanaujua sana na pia walikua wahuni sana.
 
Papaa bouba diop aliweka ile kamba ya senegal.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…