Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Gabachori muhuni sana eti bil 2 daah 😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie nyie nyie!! Wazo tena?! Angalau miaka 10 iliyopita tulisikia "wazo" la ujenzi wa uwanja ambao ungegharimu Sh 75 Billion, yaani hadi leo bado wazo tu?!Kwanza kabisa napongeza wazo la WanaSimba kujenga kiwanja Chao Cha Mpira. Kwako Ni kwako,kwahiyo endapo watafanikiwa Basi itakuwa Ni hatua nzuri kwa Club hiyo ya Mpira Nchini Tanzania.
Makolo acheni kudanganya watu! Huo sio "utajiri" wa Mwamedi bali ni "utajiri" wa Familia ya Mzee Gulamabbas Dewji!! Hata ukienda kwenye page ya METL, Mwamedi pamoja na tabia yake yote ya kupenda kujimegea nyama kwa wingi, hapa akaamua kusema ukweli kwa sababu nyama yote angekula peke yake, akina Fatema wasingekubali. Mwamedi anatujuza 👇👇👇Kwahiyo Simba watulie tu,Kama MO anataka Simba iwe na Uwanja wake na Simba kweli Basi kwanini asizame mfukoni akachomoa Tsh 132B akajenga Uwanja? Utajiri wa MO Dewji Ni Zaidi ya Tsh 3500B (Trillion Tatu na Nusu)
Yanga mpo vizuri kwenye mipango nani afanye nini, ila kwenye matokeo waachieni Simba, sijui huwa inakuwaje utaskia tu Simba kamtoa Zamalek hata wamefikaje haieleweki eleweki, GO GO GO SIMBA, ONE TEAM ONE DREAM.Hesabu za makaratasi hizo boya wewe.. nani achangie buku kila mwezi? We unadhani watu MIL 5 ni mchezo eeh.
Jezi zenyewe zinazouzwa hazifiki hata 200k afu upate watu Mil 5 wa kuchangia kila mwezi. Uelewa wako ni finyu sana, kama una familia basi watoto wako wameridhi hayo maradhi....
walikuwa wanawabeza kwenye nini.Ha ha haaa kweli maisha yako kasi sana, hawa si walikuwa wakiibeza Yanga kipindi kile? Ngoja tuone
Mo no.mbabaishaji.NA MIMI NITOE MAONI KUHUSU WAZO LA WANA SIMBA KUJENGA KIWANJA CHAO CHA MPIRA.
Kwanza kabisa napongeza wazo la WanaSimba kujenga kiwanja Chao Cha Mpira. Kwako Ni kwako,kwahiyo endapo watafanikiwa Basi itakuwa Ni hatua nzuri kwa Club hiyo ya Mpira Nchini Tanzania...
Unajisikia vibaya tajiri akitoa mapesa?Huo ndo ukweli mchungu mnaendeshwa na hisia ambazo mwisho wa siku zitawagharimu wenyewe.
Akili mmepewa ila bado mnatumia akili za tajiri wenu.
Hapana ni shabiki wa utopoloKwani GSM ni mwanahisa wa Yanga?
Ni suala la mipango tu,Simba na Yanga zina wanachama na wapenzi Kwa mamilioni wakihamasishwa wanaweza kuchangia kabisa,tatizo mnapenda kutanguliza kushindwa kabla ya kuanza. Mbona CCM inamiliki viwanja vingi tu na vilijengwa kwa kuchangia.Jamaa mjanja Sana, kasha wakimbia tayari. Yaani uwanja wa watu 30, 000/= unao karibia thamani ya 40 bilion unachangia 2 bilion kweli?
Haya nenda kashitaki CAS kuwa Mo hana hela bali ni za babake. Hivi Utopolo mnakwama wapi na hoja zenu muflisi?Makolo acheni kudanganya watu! Huo sio "utajiri" wa Mwamedi bali ni "utajiri" wa Familia ya Mzee Gulamabbas Dewji!! Hata ukienda kwenye page ya METL, Mwamedi pamoja na tabia yake yote ya kupenda kujimegea nyama kwa wingi, hapa akaamua kusema ukweli kwa sababu nyama yote angekula peke yake, akina Fatema wasingekubali. Mwamedi anatujuza [emoji116][emoji116][emoji116]
" After studying business at Georgetown University, I joined my father’s business in 1999, since then MeTL Group has grown significantly, diversifying to sectors never before thought possible. This company profile will outline the depth of MeTL Group’s presence in Tanzania, the brand that we have and how far we have come over the years."
Sasa sijui siku hizi pale METL wanatengeneza maroketi hadi atuambie amefanya diversification ambazo katu hapo kabla haikufikiriwa kwamba ingewezekana!! Mafuta ya kula yameanza kuzalishwa TZ tangu enzi za Nyerere! Juice zilizojazwa maji, zimeanza kutengenezwa tangu enzi za Nyerere! Sabuni zilikuwepo hadi Mbuni ambazo Mwamedi mwenyewe kafulia wakati akiwa anasoma primary au hata chekechea!! Kuna kipi kipya cha kutuambia "...sectors never before thought possible"?
Akili hizi zinapatikana huko Utopolo tu,Simba hakuna mazwazwaTatizo Simba hatuna uzoefu wa kuchangia, walituaminisha club ya matajiri iweje mtuletee bakuli. Sisi furaha tu mambo ya mchango toeni ninyi.
Huyo ni Bakhresa,kila mtu ana maono yake. Simba tunahitaji uwanja mkubwa wa kuchukua hata watu 40,000 . Na michango ni hiari.BAKHRESA hakuhitaji michango na alifanya kimyakimya.
Jibu mujarab kabisa hili.[emoji2936][emoji2935]
Akili kumkichwa mkuu, ww changia wala haina tabu.Unajisikia vibaya tajiri akitoa mapesa?
Sasa umiliki wa bakhesa kwa azamu ni sawa na huo wa mo kwa simba?timu ambayo ikifululiza matokeo mabaya"mnasema ondoka tuachie timu yetu"??ajichanganye kutumia karibia bilioni 20, kujenga uwanja, ??ki ufupi uwanja hauwezi kujengwa kwa njia hii hata siku moja!!!mashabiki wenyewe kuchangia hiyo 1000 ya uanachama kwa mwezi ni tabu, ndio umwambie kwenye mambo ya billions?wao ni kutoa povu tu tiachie timu yetu!!!BAKHRESA hakuhitaji michango na alifanya kimyakimya.