Simba wadhamiria kukamilisha uwanja wao, Mo Dewji achangia Bilioni 2

Simba wadhamiria kukamilisha uwanja wao, Mo Dewji achangia Bilioni 2

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mkuu kwahiyo mimi mtupu kichwani dah, nimecheka hadi watoto wananishangaa hapa.. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wewe ni mtupu kichwani,na hesabu zako za kilimo cha matikiti,kabla ya kuleta hizo hesabu zako za kufikilika lazima uelewe nini dhima ya kuanzishwa club ya Simba? Ukisoma katiba na historia ya Simba utajua kuwa Simba ilianzishwa kama club ya mpira na michezo mingine.

Waanzilishi wake walikuwa na dhima ya kupata burudani na kusaidiana katika shida na raha,historia inaonyesha hivyo, nia yao ilikuwa hivyo na wala hakujawahi kutolewa tamko au waraka wa kufuta malengo yao ya kuanzishwa.Ila kutokana na nyakati kubadilika Simba kama taasisi ya watu imepitia mabadiliko mbalimbali kulingana na nyakati husika.
Kuna nyakati za mwanzo waanzilishi wao walikuwa wakichangishana pesa ili kufanikisha shughuli zao na malengo ya club,kutokana na kupanuka kwa club na kuongezeka kwa mahitaji michango yao haikutosha,hivyo walijitokeza wafadhili ambao hawakuwa na nia ya kujitangaza bali kwa sababu za mapenzi yao kwa club na uwezo wao wa kiuchumi walitoa pesa zao binafsi kusaidia club ili tu wapate furaha.

Zama zikabadilika nao hao wafadhili michango yao ikawa haitoshi kutokana na mahitaji kuongezeka,wakaja wadhamini nia ni kuweka pesa ili watangaze shughuli zao za kibiashara,hapo ndio ikaonekana na club ibadilike pia ijiendeshe kibiashara.

Ndipo lilipokuja wazo la uwekezaji na muekezaji sharti awe mwanasimba ili kudumisha dhima yakuanzishwa club na kudumisha misingi yake,kwaio ukitizama bado lengo la kuanzishwa halijabadilishwa ni lile lile kupata burudani na kusaidia club ili kudumisha furaha na kusaidiana mwenyewe kwa wenyewe.

Kuhusu suala la kwa nini michango wakati club inajiendesha kama kampuni ya faida? Hapa kuna majibu mawili,moja ni kudumisha lengo la kuanzishwa club la kupata burudani na burudani ili ikamilike inaitaji nguvu na gharama ndio maana watu wanasafiri na timu kwenda kushangilia kwa gharama zao kila timu inapocheza, yote ni kuitafuta furaha yao,je hao kwa mawazo yako hasara yao iko wapi?

Pili Simba ni club ya wanachama na muekezaji ni mwanachama yeye ni sawa ana miliki asilimia 49%na wanachama wengine wenzake wanamiliki 51% ukumbuke Simba bado haijakamilisha mabadiliko kwa asilimia zote, hivyo kama mchango kila mtu mpenzi wa Simba atatoa kulingana na kipato chake, itasaidia kuongeza thamani ya club kwa maana ya asset na pia kuongeza kipato ambacho kinaweza kuwa na faida kwenye gawio kwa wana hisa uko mbeleni utaratibu ukikamilika.
Uelewe utaratibu huu utaongeza mapenzi kwa mashabiki kwa timu yao kwa kuona kuwa timu inawahusu na wamewajibika.

ni kama vile waanzilishi wa club waliopo wanavyoona fahari kuanzisha Simba yao itabaki historia na haitafutika milele, ni kama kuzaa na kusomesha mtoto wako akawa na future nzuri hata asipokuja kukusaidia ila atasaidia kutengeneza generation ya ukoo wako wakati huo.

Ili la kusema MO ni tapeli ni mawazo mgando na mawazo ya kimaskini au ni wivu kwa kuona MO ameleta mafanikio makubwa kwa Simba.

Umekuja na theory za darasani zisizo na uhalisia kwenye maisha ya kila siku,kumbuka MO ni mwanasimba hata akipata bado ni mwanafamilia wa Simba,au wewe kaka yako akipata utajiri kwenye ukoo wenu utanuna? Kumbuka Simba ni familia ya michezo na burudani ndio lengo lao hasa, na ndio maana waliweka sheria kumpa timu yao mwanafamilia wao mmoja mwenye uwezo, na sio mtu yeyote TU.

kumbuka kupenda hizi timu ni passion na mpenzi wa kweli hana cha kupoteza kuhusu timu yake ndio maana mpenzi wa timu ananunua jezi,analipa kiingilio uwanjani kutazama timu yake,na bado mchezaji akifanya vizuri uyo mpenzi anatoa pesa zake kumpa mchezaji zawadi!!ana safiri na timu anajilipia chakula,malazi na kiingilio ili kushangilia timu yake.

Kwa hali hio unaona mawazo yako na akili zako yapo kinadhalia zaidi kuliko uhalisia, pole sana jifunze kuchambua mambo kwa upana na sio kubishana kwa mawazo ya darasani.
 
Nimepokea maoni mengi ya WanaSimba wenzangu wakishauri tujenge uwanja wetu na wako tayari kuchangia ili tufanikishe ujenzi huo. Naomba kuweka wazi kwamba nimepokea maoni hayo kwa mikono miwili.

Naomba Bodi ya Simba kukaa na kuja na utaratibu wa haraka ili jambo hili lianze utekelezaji. Kwa kuanza naahidi kuchangia Tsh. 2 bilioni. Nawaomba wanasimba tuchangie sote.

View attachment 2042471
This is Simba
giphy.gif
 
Wewe ni mtupu kichwani,na hesabu zako za kilimo cha matikiti,kabla ya kuleta hizo hesabu zako za kufikilika lazima uelewe nini dhima ya kuanzishwa club ya Simba? Ukisoma katiba na historia ya Simba utajua kuwa Simba ilianzishwa kama club ya mpira na michezo mingine.

Waanzilishi wake walikuwa na dhima ya kupata burudani na kusaidiana katika shida na raha,historia inaonyesha hivyo, nia yao ilikuwa hivyo na wala hakujawahi kutolewa tamko au waraka wa kufuta malengo yao ya kuanzishwa.Ila kutokana na nyakati kubadilika Simba kama taasisi ya watu imepitia mabadiliko mbalimbali kulingana na nyakati husika.
Kuna nyakati za mwanzo waanzilishi wao walikuwa wakichangishana pesa ili kufanikisha shughuli zao na malengo ya club,kutokana na kupanuka kwa club na kuongezeka kwa mahitaji michango yao haikutosha,hivyo walijitokeza wafadhili ambao hawakuwa na nia ya kujitangaza bali kwa sababu za mapenzi yao kwa club na uwezo wao wa kiuchumi walitoa pesa zao binafsi kusaidia club ili tu wapate furaha.

Zama zikabadilika nao hao wafadhili michango yao ikawa haitoshi kutokana na mahitaji kuongezeka,wakaja wadhamini nia ni kuweka pesa ili watangaze shughuli zao za kibiashara,hapo ndio ikaonekana na club ibadilike pia ijiendeshe kibiashara.

Ndipo lilipokuja wazo la uwekezaji na muekezaji sharti awe mwanasimba ili kudumisha dhima yakuanzishwa club na kudumisha misingi yake,kwaio ukitizama bado lengo la kuanzishwa halijabadilishwa ni lile lile kupata burudani na kusaidia club ili kudumisha furaha na kusaidiana mwenyewe kwa wenyewe.

Kuhusu suala la kwa nini michango wakati club inajiendesha kama kampuni ya faida? Hapa kuna majibu mawili,moja ni kudumisha lengo la kuanzishwa club la kupata burudani na burudani ili ikamilike inaitaji nguvu na gharama ndio maana watu wanasafiri na timu kwenda kushangilia kwa gharama zao kila timu inapocheza, yote ni kuitafuta furaha yao,je hao kwa mawazo yako hasara yao iko wapi?

Pili Simba ni club ya wanachama na muekezaji ni mwanachama yeye ni sawa ana miliki asilimia 49%na wanachama wengine wenzake wanamiliki 51% ukumbuke Simba bado haijakamilisha mabadiliko kwa asilimia zote, hivyo kama mchango kila mtu mpenzi wa Simba atatoa kulingana na kipato chake, itasaidia kuongeza thamani ya club kwa maana ya asset na pia kuongeza kipato ambacho kinaweza kuwa na faida kwenye gawio kwa wana hisa uko mbeleni utaratibu ukikamilika.
Uelewe utaratibu huu utaongeza mapenzi kwa mashabiki kwa timu yao kwa kuona kuwa timu inawahusu na wamewajibika.

ni kama vile waanzilishi wa club waliopo wanavyoona fahari kuanzisha Simba yao itabaki historia na haitafutika milele, ni kama kuzaa na kusomesha mtoto wako akawa na future nzuri hata asipokuja kukusaidia ila atasaidia kutengeneza generation ya ukoo wako wakati huo.

Ili la kusema MO ni tapeli ni mawazo mgando na mawazo ya kimaskini au ni wivu kwa kuona MO ameleta mafanikio makubwa kwa Simba.

Umekuja na theory za darasani zisizo na uhalisia kwenye maisha ya kila siku,kumbuka MO ni mwanasimba hata akipata bado ni mwanafamilia wa Simba,au wewe kaka yako akipata utajiri kwenye ukoo wenu utanuna? Kumbuka Simba ni familia ya michezo na burudani ndio lengo lao hasa, na ndio maana waliweka sheria kumpa timu yao mwanafamilia wao mmoja mwenye uwezo, na sio mtu yeyote TU.

kumbuka kupenda hizi timu ni passion na mpenzi wa kweli hana cha kupoteza kuhusu timu yake ndio maana mpenzi wa timu ananunua jezi,analipa kiingilio uwanjani kutazama timu yake,na bado mchezaji akifanya vizuri uyo mpenzi anatoa pesa zake kumpa mchezaji zawadi!!ana safiri na timu anajilipia chakula,malazi na kiingilio ili kushangilia timu yake.

Kwa hali hio unaona mawazo yako na akili zako yapo kinadhalia zaidi kuliko uhalisia, pole sana jifunze kuchambua mambo kwa upana na sio kubishana kwa mawazo ya darasani.
Una uwezo finyu sana juu ya masuala ya uendeshaji wa makampuni. Nakushauri ondoa shudu lako
 
Pesa ya kujenga uwanja itapatikana tu na kwa sasa tumefikia sehemu nzuri sana

IMG_20211214_181357.jpg
IMG_20211214_181401.jpg
 
Nitajie kampuni unayoiendesha wewe mwenye uzoefu wa uendeshaji wa makampuni,nina uhakika huna hata genge la kuuza nyanya ila porojo zako za kiswahili ndio nyingi.
Mkuu mm ni Shareholder wa kampuni, naelewa namna gani Kampuni huongozwa, pamoja na yote nina Masters katika Finance ambayo sijasoma BONGO hapa. Nyie mnadhani mtu akiwa hapa JF basi hana la kufanya. Sasa mimi nakuelimisha na uache UPUPU unaoandika hapa. Kasome vizuri Company Act afu uje hapa, kasome vizuri namna gani kampuni zinaanzishwa na namna gani zinaendeshwa.

Nyie ndio mnawashushia heshima watu wa BUZA, Wote mnaonekana hamna akili au waswahili kwa tabia zako tu.

We unakuja hapa unashupaza misuli ya kichwa wakati huelewi chochote. Nani alikuambia shareholder anachangiwa? We ulishajua gharama za ujenzi mpaka MO aseme atachangia Bil 2?? Ulishawahi ona mtu anatoa msaada wa chakula kwenye Familia yake?? Simba ni yake 49% kwanini aombe michango wakati anajua wazi kuwa ASSET yoyote ya klabu ile inamuhusu kwa 49%??

Tulia home hapo na dadako, Msubiri shemeji yako akuachie simu uje tena hapa kuandika UPUPU.
 
Mkuu mm ni Shareholder wa kampuni, naelewa namna gani Kampuni huongozwa, pamoja na yote nina Masters katika Finance ambayo sijasoma BONGO hapa. Nyie mnadhani mtu akiwa hapa JF basi hana la kufanya. Sasa mimi nakuelimisha na uache UPUPU unaoandika hapa. Kasome vizuri Company Act afu uje hapa, kasome vizuri namna gani kampuni zinaanzishwa na namna gani zinaendeshwa.

Nyie ndio mnawashushia heshima watu wa BUZA, Wote mnaonekana hamna akili au waswahili kwa tabia zako tu.

We unakuja hapa unashupaza misuli ya kichwa wakati huelewi chochote. Nani alikuambia shareholder anachangiwa? We ulishajua gharama za ujenzi mpaka MO aseme atachangia Bil 2?? Ulishawahi ona mtu anatoa msaada wa chakula kwenye Familia yake?? Simba ni yake 49% kwanini aombe michango wakati anajua wazi kuwa ASSET yoyote ya klabu ile inamuhusu kwa 49%??

Tulia home hapo na dadako, Msubiri shemeji yako akuachie simu uje tena hapa kuandika UPUPU.
Sawa degree holder!Sasa,kwa nini unakasirika tuuuuu na yasokuhusu?Utazeeka vibaya na nongwa zako.😂😂😂😂
 
Mkuu mm ni Shareholder wa kampuni, naelewa namna gani Kampuni huongozwa, pamoja na yote nina Masters katika Finance ambayo sijasoma BONGO hapa. Nyie mnadhani mtu akiwa hapa JF basi hana la kufanya. Sasa mimi nakuelimisha na uache UPUPU unaoandika hapa. Kasome vizuri Company Act afu uje hapa, kasome vizuri namna gani kampuni zinaanzishwa na namna gani zinaendeshwa.

Nyie ndio mnawashushia heshima watu wa BUZA, Wote mnaonekana hamna akili au waswahili kwa tabia zako tu.

We unakuja hapa unashupaza misuli ya kichwa wakati huelewi chochote. Nani alikuambia shareholder anachangiwa? We ulishajua gharama za ujenzi mpaka MO aseme atachangia Bil 2?? Ulishawahi ona mtu anatoa msaada wa chakula kwenye Familia yake?? Simba ni yake 49% kwanini aombe michango wakati anajua wazi kuwa ASSET yoyote ya klabu ile inamuhusu kwa 49%??

Tulia home hapo na dadako, Msubiri shemeji yako akuachie simu uje tena hapa kuandika UPUPU.
Unazidi kuidhalilisha tu hyo degree yako bado unaonekana unataka kujua kitu usicho kijua.
 
Mkuu mm ni Shareholder wa kampuni, naelewa namna gani Kampuni huongozwa, pamoja na yote nina Masters katika Finance ambayo sijasoma BONGO hapa. Nyie mnadhani mtu akiwa hapa JF basi hana la kufanya. Sasa mimi nakuelimisha na uache UPUPU unaoandika hapa. Kasome vizuri Company Act afu uje hapa, kasome vizuri namna gani kampuni zinaanzishwa na namna gani zinaendeshwa.

Nyie ndio mnawashushia heshima watu wa BUZA, Wote mnaonekana hamna akili au waswahili kwa tabia zako tu.

We unakuja hapa unashupaza misuli ya kichwa wakati huelewi chochote. Nani alikuambia shareholder anachangiwa? We ulishajua gharama za ujenzi mpaka MO aseme atachangia Bil 2?? Ulishawahi ona mtu anatoa msaada wa chakula kwenye Familia yake?? Simba ni yake 49% kwanini aombe michango wakati anajua wazi kuwa ASSET yoyote ya klabu ile inamuhusu kwa 49%??

Tulia home hapo na dadako, Msubiri shemeji yako akuachie simu uje tena hapa kuandika UPUPU.
Bro,
Unaweza kua sahihi Kwa context kwamba Shareholder (Asset Owner) hugharamia Mwenyewe extension ya assets zake through his own money, loans or sale of shares.

Lakin tukubaliane kua uendeshaji wa mpira unaweza ukawa na sura tofauti. Kwenye normal companies, shareholders wako interest na Profit (then dividend). Na beneficiaries wa hiyo profit ni labda Employees (through bonus and Salaries) na huyo owner/shareholder through hiyo dividend.

Mimi kama Shakir siwezi kua na interest na kampuni ambayo sijaajiriwa wala sina ndugu yoyote alieko hapo. Wala mi sio customer wake wala supplier wake.

Sasa tukija kwenye mpira, ukiacha shareholders wa Simba, wengine ni wanufaika pale Simba inaposhinda. Hatuna any financial obligations wala financial benefits lakin tunafurahi tu kuona timu yetu inashinda.

Timu za Ulaya zina wamiliki wake wanaozitolea jasho la mali kulipia gharama mbalimbali lakin mashabiki wake nao wanaweza kushinikiza labda kocha aondolewe.

So uhusuiano wa shabiki na mwenye timu unaweza usifanane sana na uhusuiano wa mmiliki wa kampuni na mtu asiehusika Kwa lolote na hiyo kampuni. (non stakeholders)
 
Sasa kwa nini useme sisi,wakati hauna mamlaka na hela ya mtu.....ujinga tu
 
Nimepokea maoni mengi ya WanaSimba wenzangu wakishauri tujenge uwanja wetu na wako tayari kuchangia ili tufanikishe ujenzi huo. Naomba kuweka wazi kwamba nimepokea maoni hayo kwa mikono miwili.

Naomba Bodi ya Simba kukaa na kuja na utaratibu wa haraka ili jambo hili lianze utekelezaji. Kwa kuanza naahidi kuchangia Tsh. 2 bilioni. Nawaomba wanasimba tuchangie sote.

View attachment 2042471
Hizi B mbili amezitoa katika zile ishirini za mali kauli!?
 
Bro,
Unaweza kua sahihi Kwa context kwamba Shareholder (Asset Owner) hugharamia Mwenyewe extension ya assets zake through his own money, loans or sale of shares.

Lakin tukubaliane kua uendeshaji wa mpira unaweza ukawa na sura tofauti. Kwenye normal companies, shareholders wako interest na Profit (then dividend). Na beneficiaries wa hiyo profit ni labda Employees (through bonus and Salaries) na huyo owner/shareholder through hiyo dividend.

Mimi kama Shakir siwezi kua na interest na kampuni ambayo sijaajiriwa wala sina ndugu yoyote alieko hapo. Wala mi sio customer wake wala supplier wake.

Sasa tukija kwenye mpira, ukiacha shareholders wa Simba, wengine ni wanufaika pale Simba inaposhinda. Hatuna any financial obligations wala financial benefits lakin tunafurahi tu kuona timu yetu inashinda.

Timu za Ulaya zina wamiliki wake wanaozitolea jasho la mali kulipia gharama mbalimbali lakin mashabiki wake nao wanaweza kushinikiza labda kocha aondolewe.

So uhusuiano wa shabiki na mwenye timu unaweza usifanane sana na uhusuiano wa mmiliki wa kampuni na mtu asiehusika Kwa lolote na hiyo kampuni. (non stakeholders)
Ukishabadili kuwa Kampuni yenye lengo la kibiashara huna tena haki ya kuchangisha watu. Hiyo ni kampuni na inamilikiwa na Mtu, na wanachama. Wewe ni SHABIKI kwanini uchangie? Shabiki kazi yake ni kulipa kiingilio, kununua bidhaa za klabu nk lkn sio KUCHANGIA UJENZI WOWOTE katika Klabu. Jukumu la MO ni kujenga uwanja na JUKUMU la MASHABIKI ni kulipa viingilio waone mpira. Kwenye UWANJA, UPANDE WA WANACHAMA WATAKAA KAMA WAO WAONE NAMNA YA KUWEKA PESA KAMA WANAHISA LKN MO PIA ANATAKIWA AKAE ATOE KIWANGO SAHIHI CHA PESA NA SIO KUJIFANYA ANACHANGIA.
 
Aaache ukanjanja.Yeye achangie 49% ya Gharama zote za kujenga uwanja na wanachama wajichange 51% kulingana na Hisa anazomiliki.

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom