Simba wafanikiwa kumrubuni Feisal Salum

Simba wafanikiwa kumrubuni Feisal Salum

Unai Emery

Member
Joined
Nov 19, 2019
Posts
79
Reaction score
62
chama.jpg

Inasemekana msimu ujao atachezea Simba SC huku jambo lake likiendelea kutafutiwa ufumbuzi.

Nimeumia sana, bora angeenda kuchezea hata Azam FC ila sio kwa Simba.
 
Mzee wa ugali sukari😂😂😂😂wenzio huko wanakimbia posho hakuna ,makombe hakuna ,wewe unapakimbilia😂😂😂


Inonga katimkia KAIZER CHIEFS
Zimbwejr katimkia ORLANDO PIRATES
Baleke katimkia Antalaspol ya TURKEY
Onyango katimkia KENYA
Sakho anaenda WYDAD AC
Phili ameenda Atletico de Luanda


Wewe nenda kacheze mzee bocco na ntibanzokiza muishushe timu daraja😏
 
Mzee wa ugali sukari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wenzio huko wanakimbia posho hakuna ,makombe hakuna ,wewe unapakimbilia[emoji23][emoji23][emoji23]


Inonga katimkia KAIZER CHIEFS
Zimbwejr katimkia ORLANDO PIRATES
Baleke katimkia Antalaspol ya TURKEY
Onyango katimkia KENYA
Sakho anaenda WYDAD AC
Phili ameenda Atletico de Luanda


Wewe nenda kacheze mzee bocco na ntibanzokiza muishushe timu daraja[emoji57]
Amka utajinyea,unaota [emoji23]
 
Kaondoka tu na Yanga ikaanza kutakata. Binafsi nawaomba Yanga wasimrudishe huyu gundu. Anaweza akawa mchezaji mzuri lakini asiye na Baraka. Hana tofauti na Pogba au Eden Hazard
 
Mzee wa ugali sukari😂😂😂😂wenzio huko wanakimbia posho hakuna ,makombe hakuna ,wewe unapakimbilia😂😂😂


Inonga katimkia KAIZER CHIEFS
Zimbwejr katimkia ORLANDO PIRATES
Baleke katimkia Antalaspol ya TURKEY
Onyango katimkia KENYA
Sakho anaenda WYDAD AC
Phili ameenda Atletico de Luanda


Wewe nenda kacheze mzee bocco na ntibanzokiza muishushe timu daraja😏
Akili matope Mayele anaenda wqpi ndugu katope?🤣🤣🤣
 
Uzuri kama Chama amemkubali itakuwa rahisi hawa wawili kushea namba, mmoja akitokea benchi.
 
Muhimu kijana acheze ,iwe Simba au popote japo kwa wachezaji wa ndani naona ni mtu bora kuingia kwenye role fulani pale Simba , tunakosa magoli ya maamuzi ya watu wa kariba yake

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Mzee wa ugali sukari😂😂😂😂wenzio huko wanakimbia posho hakuna ,makombe hakuna ,wewe unapakimbilia😂😂😂
Inonga katimkia KAIZER CHIEFS. Zimbwejr katimkia ORLANDO PIRATES. Baleke katimkia Antalaspol ya TURKEY. Onyango katimkia KENYA
Sakho anaenda WYDAD AC. Phili ameenda Atletico de Luanda
Wewe nenda kacheze mzee bocco na ntibanzokiza muishushe timu daraja😏
Tatizo unamshauri Feisal lakini hayumo humu JF 😁😁😁
 
Mzee wa ugali sukari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wenzio huko wanakimbia posho hakuna ,makombe hakuna ,wewe unapakimbilia[emoji23][emoji23][emoji23]


Inonga katimkia KAIZER CHIEFS
Zimbwejr katimkia ORLANDO PIRATES
Baleke katimkia Antalaspol ya TURKEY
Onyango katimkia KENYA
Sakho anaenda WYDAD AC
Phili ameenda Atletico de Luanda


Wewe nenda kacheze mzee bocco na ntibanzokiza muishushe timu daraja[emoji57]
Yaan Jean Baleke aende Antalanyaspor[emoji15]
Aise rudisha kishkwambi kwa mkuu wako wa shule[emoji1787]
 
Hv una akili Kweli wew ,unazijua sheria Moira vzr ,Sasa kwa taarifa yako ss yanga tunataka tumuone huyo kidume atakayemchukuwa huyo mchezaji ndio utajua fifa,caf sheria zake zinafanya Kaz
Tulia dogo.
 
Mzee wa ugali sukari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wenzio huko wanakimbia posho hakuna ,makombe hakuna ,wewe unapakimbilia[emoji23][emoji23][emoji23]


Inonga katimkia KAIZER CHIEFS
Zimbwejr katimkia ORLANDO PIRATES
Baleke katimkia Antalaspol ya TURKEY
Onyango katimkia KENYA
Sakho anaenda WYDAD AC
Phili ameenda Atletico de Luanda


Wewe nenda kacheze mzee bocco na ntibanzokiza muishushe timu daraja[emoji57]
Kumbe siku hizi mpango ni kutimka tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
View attachment 2622326
Inasemekana msimu ujao atachezea Simba SC huku jambo lake likiendelea kutafutiwa ufumbuzi.

Nimeumia sana, bora angeenda kuchezea hata Azam FC ila sio kwa Simba.
Aende hata kesho kama anaweza. Kwanza kutoroka kwake kambini, kumeisaidia Yanga kufanya vizuri zaidi katika mashindano ya ndani, na yale ya Kimataifa.
 
Kaondoka tu na Yanga ikaanza kutakata. Binafisi nawaomba Yanga wasimrudishe huyu gundu. Anaweza akawa mchezaji mzuri lakini asiye na Baraka. Hana tofauti na Pogba au Eden Hazard
Nakazia
 
Back
Top Bottom