SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Bado nawaza mkono wa kulia wa Feisal ulienda wapi katika picha hii.View attachment 2622326
Inasemekana msimu ujao atachezea Simba SC huku jambo lake likiendelea kutafutiwa ufumbuzi.
Nimeumia sana, bora angeenda kuchezea hata Azam FC ila sio kwa Simba.