Simba wafanikiwa kumrubuni Feisal Salum

Simba wafanikiwa kumrubuni Feisal Salum

Wewe Muite ufahamu wako mdogo wewe
Narudia kukazia kuwa Feisal angekuwepo bado huenda Yanga isingechukuwa ubingwa ligi kuu na isingefika nusu fainali kombe la Shirikisho .

By niliye na ufahamu mdogo
 
Narudia kukazia kuwa Feisal angekuwepo bado huenda Yanga isingechukuwa ubingwa ligi kuu na isingefika nusu fainali kombe la Shirikisho .

By niliye na ufahamu mdogo

Mpaka hapo mnachukua kombe yeye ana msaada wake
 
Mzee wa ugali sukari😂😂😂😂wenzio huko wanakimbia posho hakuna ,makombe hakuna ,wewe unapakimbilia😂😂😂


Inonga katimkia KAIZER CHIEFS
Zimbwejr katimkia ORLANDO PIRATES
Baleke katimkia Antalaspol ya TURKEY
Onyango katimkia KENYA
Sakho anaenda WYDAD AC
Phili ameenda Atletico de Luanda


Wewe nenda kacheze mzee bocco na ntibanzokiza muishushe timu daraja😏
Halafu timu yenye posho haijaweza kupeleka mchezaji hata mmoja nje ya nchi.... Haya ni maajabu.
 
Back
Top Bottom