Simba wafanikiwa kumrubuni Feisal Salum

Simba wafanikiwa kumrubuni Feisal Salum

Mzee wa ugali sukari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wenzio huko wanakimbia posho hakuna ,makombe hakuna ,wewe unapakimbilia[emoji23][emoji23][emoji23]


Inonga katimkia KAIZER CHIEFS
Zimbwejr katimkia ORLANDO PIRATES
Baleke katimkia Antalaspol ya TURKEY
Onyango katimkia KENYA
Sakho anaenda WYDAD AC
Phili ameenda Atletico de Luanda


Wewe nenda kacheze mzee bocco na ntibanzokiza muishushe timu daraja[emoji57]
Khaaa,hao wachezaji umewapeleka wewe huko?kweli uto ni uto tu.
 
Kumeisaidiaje?
Tunakula bata
FB_IMG_1684134843598.jpg
 
Hujui chama huwa anatokea winga pia??
Itakuwa bora zaidi akianza kupumzishwa mara kwa mara au siku gemu zikimkataa, timu iwe na option nyingine. Wanaweza pia kucheza pamoja kama unavyosema.
 
Mzee wa ugali sukari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wenzio huko wanakimbia posho hakuna ,makombe hakuna ,wewe unapakimbilia[emoji23][emoji23][emoji23]


Inonga katimkia KAIZER CHIEFS
Zimbwejr katimkia ORLANDO PIRATES
Baleke katimkia Antalaspol ya TURKEY
Onyango katimkia KENYA
Sakho anaenda WYDAD AC
Phili ameenda Atletico de Luanda


Wewe nenda kacheze mzee bocco na ntibanzokiza muishushe timu daraja[emoji57]
Aiseeeee
 
Aende hata kesho kama anaweza. Kwanza kutoroka kwake kambini, kumeisaidia Yanga kufanya vizuri zaidi katika mashindano ya ndani, na yale ya Kimataifa.
Mungu fundi sana kila jambo linapotokea wakati mwingine ni kumuomba Mungu tu, sasa ile nafasi yake kuna mtu anakwenda kupata riziki yake.
 
Kaondoka tu na Yanga ikaanza kutakata. Binafisi nawaomba Yanga wasimrudishe huyu gundu. Anaweza akawa mchezaji mzuri lakini asiye na Baraka. Hana tofauti na Pogba au Eden Hazard

Wewe Muite ufahamu wako mdogo wewe
 
Mzee wa ugali sukari😂😂😂😂wenzio huko wanakimbia posho hakuna ,makombe hakuna ,wewe unapakimbilia😂😂😂


Inonga katimkia KAIZER CHIEFS
Zimbwejr katimkia ORLANDO PIRATES
Baleke katimkia Antalaspol ya TURKEY
Onyango katimkia KENYA
Sakho anaenda WYDAD AC
Phili ameenda Atletico de Luanda


Wewe nenda kacheze mzee bocco na ntibanzokiza muishushe timu daraja😏
Bangi mbaya sana.
 
Back
Top Bottom